Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mimi nilishakua na mtu wa hivi..akijisikia yeye ananitafuta asipojisikia ndo Basi Tena..Nikawa nawaza hivi kweli mtu anakosa kabisa muda wa kunitafuta..Tena makusudi...kufatilia baadae kumbe kuna mambo yanaendelea

Sikutaka kupoteza muda wangu..nilipochanganya na makosa mengine basi niliamua kuondoka,nilimwambia hauji kupata mtu atakaye kupenda km nilivyofanya mimi...hakuamini maana alijua sitaweza kuondoka(weakness yangu Ni kupenda kupita kiasi)
Huyu Mungu alivyo mwema naendelea na maisha yangu miaka inazidi songa

Atakukumbuka baadaye...na muda utakuwa sio rafiki...
Usije thubutu kurudi kwake..mm Ni Bora nibaki single maisha yangu yote kuliko kurudi kwa yule shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe itabidi uje tujenge maisha pamoja...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari mkuu..nshamfuta
Kwa kweli nahukumiwa sana lakini mi mwenyewe ni dhaifu na napenda kupiga kiasi kiasi na kuwa nahisi kuumia.pia nna uvumilivu na kuamini kila MTU ana mapungufu na kuna baadhi ya mapungufu unaweza kuyarekebisha.
I admit I was blinded by love now nimegundua ukweli sijapendwa.basi yameisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado ujachelewa jipange upyaa na ukiacha acha kweli
 
dah pole sana nmeyapitia yote uliyoyaandika nashukuru Mungu nliugundua ukweli mapema nkaweza kuwa kmya ad yeye mwenyew akajirud lakin akawa ameshachelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
Hivi kwa nn nimesoma huu Uzi, maana kila kitu maumivu napata mm. Men men mennnnnnnn!
 
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
thanks to this thread imenikutanisha na mtu mmoja muhimu sana aliyenisaidia ku move on na kubadili fikra zangu in a positive way..!
MUNGU ambariki sana!!
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Ukiachwa achika
 
Nimesoma baadhi ya maoni ya wadau humu, umetolewa ushauri very constructive.

Binafsi nimegundua Miss aggyjay unamnyima mwenzako mapenzi ndio maana huyo Boyfriend ako akaona bora ajiweke pembeni kwa style hiyo ya kujifanya yuko busy. Hilo yawezekana ndiyo mpango na msimamo wako labda hutaki sex mpaka ndoa, au mpaka uposwe n.k jambo ambalo mwenzako ameona kuchelewa au hakuwa na malengo yeyote na wewe zaidi ya uboifrendi na ugelofrendi tu.

Binafsi niliwahi kuachana na wadada 3 ambao walikuwa na mtazamo huo wa hakuna sex hadi ndoa, vitu vingine wanawake huwa mna complicate ikiwemo hilo suala la kunyimana kuti**na. Kwa Dunia ya sasa kushiriki ngono na mpenzi wako imekuwa sio option tena bali ni MUST kwa kuwa Tendo lile ndio Chachandu yenyewe ya kuboresha mahusiano kufikia NDOA.

Miss aggyjay tafakari umekosea wapi ili uweze kumrudisha ndege wako Tunduni.
TENA anamnyima sio kwamba waliopita hawakula...ila sasa hivi ndio anzuiliw amtu la hasha..labda awe bikra ndio aninyime tu hadi uweke ndani ila kama sio bikira basi hizo swaga hata mi siwezi kubali
 
Du!! Hii kitu inanitesa sana me mpaka nishatoa na posa na hata mahari tushapanga lakin, huyu dada sasa kila mda yeye hatak pokea sim wala kujibu sms, mpaka unapiga kwa mama ake ndio unaongea naye,

Na ukimuuliza asema yupo busy, na anadai skubizi hapendi tumia smu,,, chakufurahisha hataki nmtumie hata hela za matumizi.

Sent using Jamii Forums mobile app

ishakula kwako chalii yangu
 
Ahsante sana aggyjay uzi wako umenisaidia sana kiukweli nimepata majibu nilikuwa nataka, nipo in the same situation,
Mie pia hatujawahi hata onana ila hivi recently mabadiliko ni ubize uliokubuhu.!! Niliwahi ondoka lakini akagoma anasema ni majukumu nisiondoke.! Na akanilaumu sana why nakuwa sina uvumilivu while mwenzie hapo nimevumilia to the last drop.. Nilivyo mpuuzi nikarudi tena ila sahivi things have become more worse.!
Hapa I texted him since satano nimemuambia tu awe mkweli mbona nitaenda bila tatizo maana nishajiandaa kisaikolojia kuwa that love has already faded away.!!
Hajajibu mpaka sasa.!! Haha' nacheka kama mazuri.!!
Woooiii' tujiondokee zetu hebu.!! We're better than that.!!
Endeleen tu kuumia.Si mnawataka wa ma phd na busness ndio wawe wapenz wenu.Tukija na degree zetu moja plus mapenz ya kwel mnatupiga chin.Endeleen kuteseka mpaka akil ziwakae sawa.Kama hela anakupa ww endelea tu kukomaa nae mana nyie si pesa kwanza bana
 
Endeleen tu kuumia.Si mnawataka wa ma phd na busness ndio wawe wapenz wenu.Tukija na degree zetu moja plus mapenz ya kwel mnatupiga chin.Endeleen kuteseka mpaka akil ziwakae sawa.Kama hela anakupa ww endelea tu kukomaa nae mana nyie si pesa kwanza bana
Ningesema neno kama usingeweka 'degree zetu moja'..!!
Enwei, shukrani kwa baraka mkuu.!!
 
thanks to this thread imenikutanisha na mtu mmoja muhimu sana aliyenisaidia ku move on na kubadili fikra zangu in a positive way..!
MUNGU ambariki sana!!
upo fasta ku-move on mkuu
penzi likiisha huwa inauma sana ila cha muhimu uwe na tahadhari tu usijekuangukia mule mule
 
Hiyo post ni ya March, either way ahsante sana kwa ushauri mkuu.!!
kuna jambo limenitokea mtu anataka yeye ndo atafutwe tu na visa vya kitoto kibao kama so matured
sometime ni bora kukubali kuwa na maumivu kisha uka-move on kuliko kuendekeza upumbavu
 
kuna jambo limenitokea mtu anataka yeye ndo atafutwe tu na visa vya kitoto kibao kama so matured
sometime ni bora kukubali kuwa na maumivu kisha uka-move on kuliko kuendekeza upumbavu
Ipo siku utayavuka hayo maumivu na itabaki historia..!!
Pole sana mkuu.!
 
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Habari ya siku nyingi aggyjay, za kunisusa, na block juu?!
 
Back
Top Bottom