Mpenzi aliye "busy" siku zote

Mpenzi aliye "busy" siku zote

Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Stop being so needy

Give him time, value yourself

Some time being so needy make him more disinterested

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unajua sikuwahi experience ile hali ya kuwa mtu ulimingle nae kama rebound ukaja gundua humpendi halafu yeye kashakolea kwako! I almost feel like shiyt wheneveri see her texts or missed dials!

Kusema tuachane siwezi yani tafrani...ni dodging to kwa kisingizio cha ubize!
We m kuna hyo jamaa aliniganda miaka minne jamn najitahd kumuonesha dalili kuwa aage mashindano lakn jamaa yumo tu mpaka nkawa najiulza hyu anataka anitoe kafara ama sasa hyu bibie nilivoona anataka atamkiwe na nna iman akitamkiwa anaeza omba msamaha asiachwe[emoji3] [emoji3] [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio we unasubiri kuambiwa usiyopenda kuyasikia toka kwa mwanaume? Ni kichaa pekee atakaeweza kukwambia huo ukweli mchungu...inshort utasubiri sana kuambiwa hana nia na wewe huku ukipata maumivu ya kukaangwa na kuchemshwa moyo wako!
Nmekwambia n mgumu kuaga mashindano hyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntajiongeza..
Nko kwenye maumivu ni kama donge linanikaba kifuani
I'm tired kwa kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mpenzi kichomi, mie naona ni kama vile unashindwa kujiongeza. Wengine huwa hatuwezi kuacha moja kwa moja kwa kumwambia mtu "tuachane".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseee...[emoji15]

"Stand for the truth always stand alone"
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?

Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!

Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?

Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.

Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?

Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.

Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.

Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?

Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom