vipi unataka kum-PM?RN ndo kitu gani?
Mnaombaomba nauli mkipewa appointment.tunaanza kutafutwa kutokana na location sio? mmechoka wenye degree
VETAElimu ya kawaida ni ipi?
Mie sina kibamia mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bac sawa...ukikosa kabisa nambie nkupe dadangu anakaa tegeta nyuki...ntakuelekeza kabisa kwake...
Regional non-senseRN ndo kitu gani?
Sawa mkuuMie sina kibamia mkuu
RN ndo kitu gani?
akiwa ni mkazi manzese kimara kibaha na nk amekukosa?kweli wew mtoto wa geti kaliHabari za mida wana Jf Mimi ni mwanaume alie timia sifa za kiume ninatafta mpenzi anae jitambua awe ni mkazi Wa kunduchi/tegeta ila awe anajitambua asiwe mdangaji
Sifa za mtaftaji
By professional I'm RN umri wangu 27
Mm ni Mrefu sio kibonge afu sio mweusi kivile hivo basi ninae mhitaji asiwe Mrefu kama Mimi taaluma yake iwe ya kawaida kwa mwanamke anae hitaji mpenzi ani pm kwa mawasiliano zaidi
Naomba kuwasilisha wana Jf
Sio kiviileakiwa ni mkazi manzese kimara kibaha na nk amekukosa?kweli wew mtoto wa geti kali