nipo chiefMkuu joseverest kitambo sana.
Ngoja nione kama nitauona huo uziNaomba nitag kama utaweza mkuu.
Haujatuambia jinsia yako mkuu. Kuna jamaa anahitaji mke wa kumuoa nadhani atakufaaMiaka yangu 32, Elimu degree ya kwanza.Ninaishi Dar Kigamboni dini mkristo. Ajira binafsi
Ninahitaji mpenzi/mchumba awe mkristo (muhimu sana)
Miaka kuanzia 26-30 na mwenye shughuli ya kufanya( for a living)
Sio mweusi sana na asijichubue
Mwenye sifa karibu Pm tuyajenge.
Kama ni kutongoza tu sihitaji kupiga bapa mkuu ni uso mkavu tu natiririka verse bila shida yeyote.Em acha uzembe ww piga bapa 1 afu umkute Ke yyote mwenye hizo sifa muimbe utakuja kunishukuru mkuu
NB. Mwanamke hapendi ukweli zingatia hilo cheza na mind ake t
Kuna hii another wayKama ni kutongoza tu sihitaji kupiga bapa mkuu ni uso mkavu tu natiririka verse bila shida yeyote.
Mbona zipo hizo mambo ishu ni connection hata hapa Tz mabinti wanauzwa gud tDuh
Hii kweli au umeamua kutupa comedy kidogo?
Wanawake kama bidhaa vile!
Maisha yanakimbia sana aisee....people cant keep up!
Hali mbaya wanawake wapo wengi ni vimeoMpaka mwamba umekuja huku,kweli wanawake wa kuoa hakuna!
It is a real crisis kweli....
Sio kweli ila kuna app za kutafuta wachumba kwa me navyoelewaDuh
Hii kweli au umeamua kutupa comedy kidogo?
Wanawake kama bidhaa vile!
Maisha yanakimbia sana aisee....people cant keep up!
Nipo hapa karibuJinsia Me:
Miaka yangu 32, Elimu degree ya kwanza.Ninaishi Dar Kigamboni dini mkristo. Ajira binafsi
Ninahitaji mpenzi/mchumba awe mkristo (muhimu sana)
Miaka kuanzia 26-30 na mwenye shughuli ya kufanya( for a living)
Sio mweusi sana na asijichubue
Mwenye sifa karibu Pm tuyajenge.