Mpenzi askari/jwtz/daktari wa kike

Mpenzi askari/jwtz/daktari wa kike

Omba mungu upata wa mwisho, maana hao wengine woote...
1) Hawana sifa ya kuishi kindoa tofauti na nchi zao. Uko tayari kwenda kuishi alipo yeye?
2) Woote, washaolewa na mikataba ya hizo kazi. Uko tayari kuwa mume mdogo?
Naomba sana mkuu...ghalani mwa Bwana naamini bdo wako wengi, sema ni vile hawajaingia tu humu JF, pasingetosha[emoji4]
 
Umesahau sifa moja awe bikra utakuja nishukuru nipo hapa mbulu nakula karanga mbichi
 
Ngoja kipindi cha mvua maana matope yatakuwa mengi sana,kaa chini tuliza kichwa utengeneze wakwako[emoji144]
 
Back
Top Bottom