Naomba sana mkuu...ghalani mwa Bwana naamini bdo wako wengi, sema ni vile hawajaingia tu humu JF, pasingetosha[emoji4]Omba mungu upata wa mwisho, maana hao wengine woote...
1) Hawana sifa ya kuishi kindoa tofauti na nchi zao. Uko tayari kwenda kuishi alipo yeye?
2) Woote, washaolewa na mikataba ya hizo kazi. Uko tayari kuwa mume mdogo?
[emoji16]Usinitilie maananiNije wapi sasa?