Mpenzi au mke wako akibakwa...

Mpenzi au mke wako akibakwa...

No woman i believe will tell her man if she has been raped!! Ukweli usemwe tu hapa. Wanaume hawaangalii tukio hilo kama uhalifu bali kama kitendo cha ngono.Ukimwambia kuwa umebakwa si ajabu ukajikuta unadhalilika mara ya pili kwa maana ya kulaumiwa kuwa umejitakia.

Je kama ukibakwa na ikapelekea ukapata ujauzito utafanya nini?

Tausi mie nadhani nitasema na kwa sababu nitakuwa naongea ukweli toka moyoni vile kitendo kimetokea sikupenda kinitokee..
Nitamwambia ukweli liwalo na liwe ...kwa mfano nisipomwambia nikakamata preg ndo naanza kuelezeaje na kama mbakaji ameambukiza ngoma
?Nadhani ni vyema kuliongea mapema kabla tatizo halijawa kubwa zaidi
 
Nitamwambia ili kama nimepata maambukizi nisimwambukize, na pia kama madhara makubwa si itajulikana tu coz nitahitajika kupelekwa hospital
mie nasema kabisa
 
Mi nitasema ingawa mwanaume mwingine anaweza asielewe.
 
Back
Top Bottom