Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Me nasema hivi, wanaume wenye Uume shikamooniπππππnjoo tuongee kuhusu pesa niwekeze kwenye mapenzi afu kesho tuongee kuhusu presha
Marahabaa.Me nasema hivi, wanaume wenye Uume shikamooni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
marhabaMe nasema hivi, wanaume wenye Uume shikamooni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi nawapenda Sana na kuwakubali munooπ₯β€οΈ
nipe basi ile kitu imemeza ingine.Mimi nawapenda Sana na kuwakubali munoo[emoji91][emoji3590]
Wanaume wenye Uume Mungu AWABARIKI Sana KAZI mnayoifanya NI njemaDunia hii haiko sawa kabisa,kuna wanaume wamebebeshwa mizigo na wanawake zao mpaka utawahurumia,bila pesa hakuna mapenzi...na ndicho kinachowaua wengi wao kutokana na msongo wa mawazo
Me bado nawaheshimu wanaume wenye UUMEπͺβ€οΈπ₯Yaani hapo mgongo unauma,kiuno kinauma,mikono ndo usiseme
..halafu jiooooonii unavuta 10,000 yako unaondoka,umasikini huu !
πππππ Nimecheka Sana kidogo nigonge gari ππππHalafu cha ajabu unatuma kumbe umewatumia wale jamaa wa "ile hela tuma kwenye namba hii"ππ€£
Hapo unaweza elewa kwanini msondo waliimba wanaume tumeumbwa mateso kuhangaikaπ
Hahahahahahah jaman πππππ
Hii NIMEIPENDAπππMarahaba mwanamke mwenye uke