Helo mbiti
Huwa anashusha verse za hatari. Nyimbo si nyimbo riwaya si riwaya basi huku wengine tusioelewa twafwaaaa
Humu ni sehemu ya kutupa faraja na ni sehemu ya kurelax naona humu atapata ahuenihhhahha ewaaaaaa labda riwaya mwaya!mapenzi yanamsumbua! analia na mapenzi ! hajui kufa na tie shingon lol!
Humu ni sehemu ya kutupa faraja na ni sehemu ya kurelax naona humu atapata ahueni
Mwenyewe huwa najitahidi kweeeli kumwelewa ila ndo vile teenahuwa simwelew!huwa nhis yupo very lonely kma kina MBITI hapa! so sad
Nimesusa kucheza tena na wewe...Kwako Mahabat wa Kasie....
Usipate taabu u Mahabt, uliyoyafanya sio mageni hapa Duani ehee! Mahalat!
Ikiwa kupendana babaa ,Wapo waliopendana kama watoto mapacha! Sweetie,
Ikiwa ni mapenzi ii babuu wapo waliopendana kama kumbi kumbi Dadiii!
Kumbi kumbi ooooh!
Wanapendana sana hata wakati wa kutembea utawaona ! bibi mbele( Kasie) bwana nyuma!(Mahabat Dadii)
Lakini sio ajabu kwani hata wao hutokea wakati wakakosa kuelewana....
Tena kwa kiapo oo Dadii, sembuse mimi na wewe......
Ingawa roho iliuma, ooh babaaaa uliponiezea
kwamba mwanamke uliyezaa naye yupooo ......
kwa hiyo nisije nyumbani kwako, hata kazini nisikufuate .... (Daaah)!!!
Hata kusalimiana na mimi hutaki japo twafahamiana eee ... (roho inaumaaa)
Hata shemeji zako Kitimtim na Ngule niliwatuma waje wakupe salam zangu sweetieee
Oh!Dadii Oh Mpenzi naumwa!
Oh!Dadii Oh Mpenzi upepo!
Sina neno mimi, kwa kuwa najua huyo ni mzazi mwenzio.....penzi upepo!
Ipo siku eeehh (naamini) utakuja kwa wazazi wangu Mahabat...
Ulete barua ya uchumba ooh..
Tufunge ndoa na wewe.....penzi upepo....
Kasie... (Nyonda-ako)
Na mimi unapenda nini changu?Napenda sana mwandiko wako kasie
Mwenyewe huwa najitahidi kweeeli kumwelewa ila ndo vile teena
Hahahakilaza wa3
[emoji3][emoji3], kikaango kimekwisha ama naona umeanza kuzururaNawacheck tuu...
Kasie again in the weekend... !!
Kwa wasio muelewa The one and Only "Kasie" ni kuwa ana communicate na mtu mmoja tu ktk post nzima. Na uzuri huyo mtu huwa anajijua.
(Hii ni mtazamo wangu ktk post zake)
Hapo ndipo msiba utakaponihusu sasa... usifanye hivyo Kassie wangu..Hahahahahahaaa babuuuu ukisusa wenzio waalaah. .... yaaalaaah
Hahahahaaa looh utaundiwa tume wee shauriyako.....
unalazimisha watu walelewe huku wanataka huku hawataki hihihihihihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. ...
Kasie Nyonda-ake mtufudenge hehehehe
Kasie again in the weekend... !!
Kwa wasio muelewa The one and Only "Kasie" ni kuwa ana communicate na mtu mmoja tu ktk post nzima. Na uzuri huyo mtu huwa anajijua.
(Hii ni mtazamo wangu ktk post zake)