Mpenzi Mahabat wa Kasie....

Mpenzi Mahabat wa Kasie....

Kwako Mahabat wa Kasie....

Usipate taabu u Mahabt, uliyoyafanya sio mageni hapa Duani ehee! Mahalat!

Ikiwa kupendana babaa ,Wapo waliopendana kama watoto mapacha! Sweetie,

Ikiwa ni mapenzi ii babuu wapo waliopendana kama kumbi kumbi Dadiii!



Kumbi kumbi ooooh!

Wanapendana sana hata wakati wa kutembea utawaona ! bibi mbele( Kasie) bwana nyuma!(Mahabat Dadii)

Lakini sio ajabu kwani hata wao hutokea wakati wakakosa kuelewana....

Tena kwa kiapo oo Dadii, sembuse mimi na wewe......



Ingawa roho iliuma, ooh babaaaa uliponiezea

kwamba mwanamke uliyezaa naye yupooo ......

kwa hiyo nisije nyumbani kwako, hata kazini nisikufuate .... (Daaah)!!!

Hata kusalimiana na mimi hutaki japo twafahamiana eee ... (roho inaumaaa)

Hata shemeji zako Kitimtim na Ngule niliwatuma waje wakupe salam zangu sweetieee


Oh!Dadii Oh Mpenzi naumwa!

Oh!Dadii Oh Mpenzi upepo!

Sina neno mimi, kwa kuwa najua huyo ni mzazi mwenzio.....penzi upepo!

Ipo siku eeehh (naamini) utakuja kwa wazazi wangu Mahabat...
Ulete barua ya uchumba ooh..
Tufunge ndoa na wewe.....penzi upepo....

Kasie... (Nyonda-ako)

Nimesusa kucheza tena na wewe...
 
Kasie again in the weekend... !!

Kwa wasio muelewa The one and Only "Kasie" ni kuwa ana communicate na mtu mmoja tu ktk post nzima. Na uzuri huyo mtu huwa anajijua.

(Hii ni mtazamo wangu ktk post zake)
 
Kasie again in the weekend... !!

Kwa wasio muelewa The one and Only "Kasie" ni kuwa ana communicate na mtu mmoja tu ktk post nzima. Na uzuri huyo mtu huwa anajijua.

(Hii ni mtazamo wangu ktk post zake)

Hahahahaaa looh utaundiwa tume wee shauriyako.....
unalazimisha watu walelewe huku wanataka huku hawataki hihihihihihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. ...

Kasie Nyonda-ake mtufudenge hehehehe
 
Hahahahahahaaa babuuuu ukisusa wenzio waalaah. .... yaaalaaah
Hapo ndipo msiba utakaponihusu sasa... usifanye hivyo Kassie wangu..

proxy
 
Hahahahaaa looh utaundiwa tume wee shauriyako.....
unalazimisha watu walelewe huku wanataka huku hawataki hihihihihihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. ...

Kasie Nyonda-ake mtufudenge hehehehe

Hahahahaaa.....nyonda beibeeee

Mpe hi Lawrence 😉
 
Kasie again in the weekend... !!

Kwa wasio muelewa The one and Only "Kasie" ni kuwa ana communicate na mtu mmoja tu ktk post nzima. Na uzuri huyo mtu huwa anajijua.

(Hii ni mtazamo wangu ktk post zake)

Mtu huyo ni nani?

Yupo humu?
 
Back
Top Bottom