Smart911 njoo huk unahtajika na Ex wako [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sent from my Android phone
Albelari ni jina la mahali niliendaga zamaniii.....
Kama ulishawahi msikia James Jeddah. ... basi anahusika na huko pia.
Jimmy uunh.....the military dude right?
I thought it was just a story...kumbe ilikuwa kitu cha ukweli...damn you π !!!
Kasie.Harufuuuuu. .......
Unikumbusha huu wimbo.....
Nau dedicate kwa anayeniita Nyonda-ake Kasie. ..
Wewe hufai.Karibuu ila kimekukonga roho na emoji za kususa heheheh
Wewe hufai.
Umestukia kumbe!
Si unajua ile Mtu akiwa anasema, "Haya bwana".
Umejua amekubali ila kwa shingo upande
Ahsante sana.Hahahahaaa looh nimeonaa shukrani ya shingo upande, umenikumbusha ule uzi tulisemeshanaa ukaniletea a cup of hot chocolate nami nikakupa ma emoji ya tabasamu murua.
Ila kipindi kile ulikuwa unapata kana mida minene sana yaani usiku mkali... leo vipi uko off?
Missed you hata hivo....
Kasie,Karibuu ila kimekukonga roho na emoji za kususa heheheh
AhsanteewKaribuuu
Ahsante sana.
Umenifanya na mimi niukumbuke Uzi wetu uleeeeee wa Samakiπ.
Leo kidogo sijatingwa sana nna unafuu wa kupata muda wa Kuperuzi kama hivi.
Ila leo mida yangu (Usiku mkali) sitokuwepo nna kamtoko
Yaap yaap....!Hahahahaaa oolalai. ... kile kinyama kinachoning'inia kwa chini eeeh.....