Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I'm cool sweetheart, how have you been?Hello KANA of Galileo. ... and good and you..?
Hapana ndugu..Nimeuliza tuKaka naona unataka kufukua kaburi
Hana jina jingine?Nyani kasoro mkia....
All is well honey!Nice to see you again (shaking hands). Enjoy your weekend as you see mine has just started with Mahabat..... aka Dadii
Huyu ndege mbona kama kaota mbawa??Msupuuu nakuona....
HahaHuyu ndege mbona kama kaota mbawa??
Basi sawaHaha
hajapeperuka bado yupo kwenye kiota.
Teh teh..No comment..Umesomeka uzuriKuna muda wa siasa/kampeni na muda wa kuwatumikia wananchi.... au haukumskia mkulu
Nope..Ndo hili hili..Sema nimewahi kuhudhuria sherehe yenu ya kuchombezana na Daby sasa nikataka kujua kijana wangu ushambwaga au vipi..Mana hauishiwi masapraizi wewe
Sawa mamaHahahahahahahaaa looh
Basi wacha nijibu swali ulilouliza. ..... (hana jina jingine ndo hilohilo nililo litaja).
Hebu muulize yeye bana, si ni kijana wako huyo?