unebugi men!!! haoa jf wapo wanaopoteza muda tuu....hamna wife material hapa.
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 36,elimu ya chuo kikuu,mkristo, mrefu, maji ya kunde.
Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke.
Binti awe mkristo na awe na elimu kuanzia form four,asiwe na mtoto (nami sina mtoto) na awe msikivu na mwelewa.
Kwa aliye tayari naomba anipm na huko tutafahamishana mambo mengine kwa uzuri.
Hata mimi sio, hututendei haki bhana
hahaha bwana wee mbona ni wangu sasa itakuwaje tena upo sokoni?
unebugi men!!! haoa jf wapo wanaopoteza muda tuu....hamna wife material hapa.
naomba time limit ya huo upenzi, uchumba hadi mke,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,mengine yatafuata ukijibu haya
mi cijui kupm ila nitafute kwa smasige@rocketmail.com,2taongea mengi.
hahaha kumbe umenimilik kimyakimya
Hebu acha kuzibia watu wewe.....
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 36,elimu ya chuo kikuu,mkristo, mrefu, maji ya kunde.
Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke.
Binti awe mkristo na awe na elimu kuanzia form four,asiwe na mtoto (nami sina mtoto) na awe msikivu na mwelewa.
Kwa aliye tayari naomba anipm na huko tutafahamishana mambo mengine kwa uzuri.
sema nakuzibia wewe bwana.....
Teh!!! ndioooo nami mmoja wapo.......
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 36,elimu ya chuo kikuu,mkristo, mrefu, maji ya kunde.
Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke.
Binti awe mkristo na awe na elimu kuanzia form four,asiwe na mtoto (nami sina mtoto) na awe msikivu na mwelewa.
Kwa aliye tayari naomba anipm na huko tutafahamishana mambo mengine kwa uzuri.
Teh!!! ndioooo nami mmoja wapo.......
nipo hapa tayari