Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 36,elimu ya chuo kikuu,mkristo, mrefu, maji ya kunde.
Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke.
Binti awe mkristo na awe na elimu kuanzia form four,asiwe na mtoto (nami sina mtoto) na awe msikivu na mwelewa.
Kwa aliye tayari naomba anipm na huko tutafahamishana mambo mengine kwa uzuri.
Natafuta binti ambaye atakuwa mpenzi wangu,mchumba na hatimaye mke.
Binti awe mkristo na awe na elimu kuanzia form four,asiwe na mtoto (nami sina mtoto) na awe msikivu na mwelewa.
Kwa aliye tayari naomba anipm na huko tutafahamishana mambo mengine kwa uzuri.