Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli na anayetaka kuolewa

Mpenzi mwenye mapenzi ya kweli na anayetaka kuolewa

Elichapo

Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
13
Reaction score
7
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 sasa nakuja hapa kwa mara ya kwanza, natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 23 kuendelea mpk 29. ambaye yupo tayari tuwewapenzi kwa ajili ya kuja kuoana, manake simuda mrefu nataka kuoa, sichagui kabila , wala dini elimu kuanzia kidato cha nne akiwa mjasiriamali, au muajiriwa sawa tu , ili mradi asiwe tegemezi sana kwangu ,ninaomba mwenye nia ya dhati kabisa anicheki pm tuyajenge. kama unakuja kupima upepo bora usije pm manake nipo serious na ninaka mpnz.
 
Nakonde njoo uchukue mumeo.

Kuanzia leo nyie ni mume na mke shahidi mkuu Jf wasaidizi members wote hasa wa MMU.
 
Nakonde naye anatafuta kidume. Fuata Uzi wake umo humu muwasliane. Hongera kwa uamuzi was busara
 
Mapenzi ya kweli!! Leo hii.! Te te teeh usisubiri hilo..
 
Unajua kwenye ile shughuli kupeti peti,deko deko,malavi davi lazima maji ya kunde yaje.
NAKONDE anataka maji ya kunde na mimi ni maji ya mkaa ,kama yupo tayari aje inbox tuyajenge
 
Mi ctaki mahusiano mapya saiv mpaka vuguvugu la ngada lipite....
Nsije shutumiwa kisa nimedate na papa....
 
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 30 sasa nakuja hapa kwa mara ya kwanza, natafuta mwanamke mwenye miaka kuanzia 23 kuendelea mpk 29. ambaye yupo tayari tuwewapenzi kwa ajili ya kuja kuoana, manake simuda mrefu nataka kuoa, sichagui kabila , wala dini elimu kuanzia kidato cha nne akiwa mjasiriamali, au muajiriwa sawa tu , ili mradi asiwe tegemezi sana kwangu ,ninaomba mwenye nia ya dhati kabisa anicheki pm tuyajenge. kama unakuja kupima upepo bora usije pm manake nipo serious na ninaka mpnz.
njoo in box mi nipo tayari
 
Kila la kheriii..maana watu wengi humu yaaani hawakk serious kabisaa! [emoji53][emoji53][emoji53]
 
Back
Top Bottom