Mimi ni Baby doll tuu hamna cha kubadilisha boss.[emoji16][emoji16][emoji16]
Unanisingizia mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahhahhaahhaha hahahahWameomba nithibitishe.
Na hapo sijaingia deep , ningeingia deep je ingekuaje?
hahaha najua wewe sio na uwezi kuwa cz ni watu wawili tofautiUnanisingizia mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi soft pia ila siyo paprika[emoji4][emoji4]
Looh
Salama rafiki
NilikumissAsante Mondray!
Kwa wengine wote samahani kwa kitendo kilichofanywa na ID hii. Najua sistahili msamaha wenu ila naomba msamaha tena.
Sijawai changia humu na ID zaidi ya hii...
Usiku mwema.
Nilisononeka sana kukuta umepigwa ban nikashangaa hadi watoto wazur wanapigwa ban??Salama rafiki
Nashukuru ,nimeshapoa kipenzi
Ndio hivyo tena ilitokeaNilisononeka sana kukuta umepigwa ban nikashangaa hadi watoto wazur wanapigwa ban??
Dah pole sana.Ndio hivyo tena ilitokea
I told you my friend!! Unaona umekula ban!Mleta mada umeolewa??tuanzie hapa
Mungu anakuona..!Asante Mondray!
Kwa wengine wote samahani kwa kitendo kilichofanywa na ID hii. Najua sistahili msamaha wenu ila naomba msamaha tena.
Sijawai changia humu na ID zaidi ya hii...
Usiku mwema.
Macho kodo kivipi jamani, unajua bado sijapata wa kunituliza na kuniweka ndani kama kifaranga ndani ya yai..