Mpenzi uniskize

Mpenzi uniskize

MrLove

Member
Joined
May 26, 2024
Posts
35
Reaction score
113
Nakuomba mpenzi uniskize Tafadhali baby tuliza moyo kwa kweli. Niko wako Hivyo usiwe na shaka Wewe kaa ukitabasamu Mara tu ukiniona Penzi letu halina kasoro Mimi na wee ′tapendana kiroho Nakusihi Tuliza moyo Sherekea, furahia Penzi letu, baby Cheza, imba Mpenzi wangu, kichuna changu Sherekea, furahia Penzi letu, baby Cheza, imba Mpenzi wangu, kichuna.
 
Screenshot_20240527-164408.png
 
Nakuomba mpenzi uniskize Tafadhali baby tuliza moyo Kwa kweli niko wako Hiyo usiwe na shaka Wewe kaa ukitabasamu Mara tu ukiniona Penzi letu halina kasoro Mimi na wee ′tapendana kiroho Nakusihi Tuliza moyo Sherekea, furahia Penzi letu, baby Cheza, imba Mpenzi wangu, kichuna changu Sherekea, furahia Penzi letu, baby Cheza, imba Mpenzi wangu, kichuna.
Unazingua
 
Back
Top Bottom