UnazinguaNakuomba mpenzi uniskize Tafadhali baby tuliza moyo Kwa kweli niko wako Hiyo usiwe na shaka Wewe kaa ukitabasamu Mara tu ukiniona Penzi letu halina kasoro Mimi na wee ′tapendana kiroho Nakusihi Tuliza moyo Sherekea, furahia Penzi letu, baby Cheza, imba Mpenzi wangu, kichuna changu Sherekea, furahia Penzi letu, baby Cheza, imba Mpenzi wangu, kichuna.
dronedrake hebu mpe dogo madini ya kukwea mnazi anateseka sana na mapenzi, yatamuua.....
dronedrake hebu mpe dogo madini ya kukwea mnazi anateseka sana na mapenzi, yatamuua.....
Ujawah kupnda tuliaUnazingua
Sitesek njoo tupendane km unaona wivudronedrake hebu mpe dogo madini ya kukwea mnazi anateseka sana na mapenzi, yatamuua.....
Punyeto ni mkomboziSitesek njoo tupendane km unaona wivu
Lucas Mwashambwa hana jipyaLucas we komaa na siasa kuna mtu anatunga shairi kumnasa mrembo wako huku.
Nitaua mtu mchana kweupe. Kama mtu anajipenda ni bora aachane na ephen. Ni kosa kubwa sana kumgusa ephen au hata kumuota tu ndotoni na ukasikika.Lucas we komaa na siasa kuna mtu anatunga shairi kumnasa mrembo wako huku.
hahahahaha kijana mzalendo unatoa ile mikwara yenu ile ya "unajua mm ni Nani"Nitaua mtu mchana kweupe. Kama mtu anajipenda ni bora aachane na ephen. Ni kosa kubwa sana kumgusa ephen au hata kumuota tu ndotoni na ukasikika.