mpango wa nje staki...nataka kua mpango mzima!!!!
Nimempiga kibuti tayari!!!Alafu kama ni wivu ndo kabisaaa mapenzi yananoga!!!
Asanteni wote kwa ushirikiano....natangaza rasmi nimempata Asprin kwahiyo maombi hayapokelewi tena!😛arty:
Ila kama ana mwenyewe ajitokeze mapema isije kua tafrani baadae!!!!
Mmmmh sijui..embu niambie mchungaji!!!!
Hapo sasa ndio nimekupendea, yani kwa jinsi ulivyo mwanamke msikivu, nadhani mambo yangu yatakuwa mswano kuanzia sasa.
Siunajua kale ka msemo ketu, kwenye mafaniko ya mwanamume pembeni kuna mwanamke.
Sasa naomba uwatangazie wadau rasmi, hasa Asprin kwamba tayari umeshampata uliyekuwa unamtafuta.
Nimefurahi sana kuanza vizuri mwaka 2011 na kifaa kipya, i lav yu mai swit hat.
ule muwasho wake!
Mchungaji mbona unanitia wasiwasi......niweke wazi kidogo mzigo wenyewe unabebeka????
Uwiiiiii....mbona nishajikabidhi???Ngoja nichakachue matokea!!!:embarrassed:
Weeeee......usiniambie!!:A S 109:
Mchungaji mbona unanitia wasiwasi......niweke wazi kidogo mzigo wenyewe unabebeka????
Hhahahahhahahaha....ila mi najua huwa wanatinga pensi ndani!!!:redfaces:
Mbona kama unajua sana mchungaji...na wewe umo nini???