Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hv kasema pocket money sh ngapi? maana naitaji advance nikanunue vipedo vya tour!huu utalii wa ndani huu na wake zetu humu lol
sijui....
hv kasema pocket money sh ngapi? maana naitaji advance nikanunue vipedo vya tour!
Natafuta mpenzi (mwanamke) wa kutalii naye ndani ya nchi, mara 1 au 2 kwa mwaka kwa muda wa wiki 1 au 2 kwa kila safari, awe na umri miaka 27-45, mimi ninamiaka 36.
hv kasema pocket money sh ngapi? maana naitaji advance nikanunue vipedo vya tour!
Kutalii kwenyewe ni Dodoma....awah nipishe mie
wapi kasema anaenda na wewe? kama vipi atachaguaHivi ni wewe unaenda au mimi......maana nimeshamuwahi ujue......
sinaga hata k miena condoms za safari pia usisahau....
Haya hapa chini ni maneno yako mwenyewe ndugu...
Maneno yenye rangi nyekundu ndio yanayoashiria kuwa wamtaka mwanamke kwa matumizi ya muda mfupi au kwa ufupi ndio huko kumtaka mwanamke kwa kumtumia...
Pili, ungeliandika kuwa wamtafuta mwanamke wa kutalii naye kwangu mimi wala nisingeakutilia shaka, lakini ulipoingiza neno "mpenzi" hapo ndio nilipoona kuna cha ziada ukitafutacho....
sishangai, nikawaida yetu wa Tz kuponda vya nyumbani.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
Kwani ushafika Dodoma kwenyewe?
Ushaenda mnadani kula mbuzi wewe?
Area C unapajua vizuri?
Nane nane viwanja pale ushafika Nkuhungu wewe?
Nenda kale raha bhanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu, watu wengine wanafikiri kutalii ni kwenda nchi za nje au kwenda maeneo ya gharama, hawajui kama unaweza kwenda kutalii hata ndani ya nchi au mkoa wako.
Tunajua hilo bwana....hakuna jipya TZ hata nitalii...LOL