Mpenzi wako akianza kukuletea msharti, achana naye tafuta mpenzi mwingine; kwani kuachana shilingi ngapi?

Namkojoza hadi ananiomba nishuke chini maana nina kawaida ya kukaa kifuani zaidi ya masaa 2 lakini wanawake ni kawaida yao; hawaridhiki hata uwape nini (by Dr Mwaka).
Mkojo unauona?? Aliekuambia kukaa muda mrefu kifuani ndo kumkojoza ni nan kakuongopea?!
 
Kama mwanamke amekupa masharti Bila kumfungulia biashara hakupi papuchi na wewe si ungempa masharti hutoi hela zako Bila kupewa papuchi
 
Kama mwanamke amekupa masharti Bila kumfungulia biashara hakupi papuchi na wewe si ungempa masharti hutoi hela zako Bila kupewa papuchi
Hilo sharti lilishindikana ndio maana mahusiano yalifikia tamati.
 
Maamuzi ya kiume. Hujakosea
 
Namkojoza hadi ananiomba nishuke chini maana nina kawaida ya kukaa kifuani zaidi ya masaa 2 lakini wanawake ni kawaida yao; hawaridhiki hata uwape nini (by Dr Mwaka).
Basi ulikuwa unachubua na kumtesa maana ni kama ulikuwa wamkomoa wakati sex ni starehe lakini wewe uliifanya kuwa karaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ