Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jay-millions nakuelewa sana ✍🏾.Tumia pesa kwenye mambo ya maana, wekeza maisha hata siku hicho kinachokupa hela kikifeli usife njaa, sifa zinaua na hakuna bingwa wa kuhonga, Mungu fundi ukipata usijisahau na wanawake hawanaga shukurani alamsiki
Ndo umemaliza form 4 eehMpenzi wangu amefiwa na mjomba
wake.
Je natakiwa kumpa sh ngapi kama rambirambi?