Mbavu zangu mieee.😀😀😀😀😀😀😀😀 haya mamii ukiona kimya nikumbushe
😛😛😛😛😛😛 don't forget kunikumbusha lakiniMbavu zangu mieee.
Haya bana. [emoji23] [emoji23]
nimejaribu pure inahitaji malipo loohYaani zote ndo naziona leo...
Hahaha
Mimi ni mzungu njoo kwanguKwa hiyo app ipi nzurii tupate wazungu na sie tuzae watoto wa kimataifa