Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Huyo mama wa mwanamke wa pili alikua na roho ya kinabii.
 
Wewe hauna akili pole sana
 
Sifa ya mwanaume kamili ni kuwa na kifua. Kwa matatizo yake na mwanamke wake pia. Ni sahihi wote kuwa na kifua ila it matters alot kwa mwanaume
Ujinga huu siku watu hawautaki. Wazee wetu walikua na vifua kwakua mama zetu waliwastahi sana na waliwapa heshima na walikua na maadili mnoo sio kama ngiri hiz za leo nguruwe pori kabisa
 
Mtaachana tu.
Ni suala la muda kidogo
 
Ujinga huu siku watu hawautaki. Wazee wetu walikua na vifua kwakua mama zetu waliwastahi sana na waliwapa heshima na walikua na maadili mnoo sio kama ngiri hiz za leo nguruwe pori kabisa
🤣🤣🤣 Unaongea kwa hisia sana mkuu we jamaa si ulikuwa unasifia ndoa yako ina miaka 18 🤣🤣 vipi mbona vilio kila nyuzi humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…