Kuiongea ni rahis mkuu, kuifanya yahitaji sana moyo maana unaweza ukachanganyikiwa. Unawaza effect itakavyokua kwa watotoIn short huyu jamaa inatakiwa awe kataa ndoa (amuache mkewe kwa muda kidogo) ajitafakari maisha yake yalivyo na yatakavyokuwa hapo siku za mbele ndo aamue arudi au abaki hivyo hivyo wabaki kulea watoto tu.
Atapasuka kichwa huyu
Fanya utalii wa ndani mkuuUko sahihi, nalifikiria hilo, i will consider a leave this december, ndio najiuliza hata sijui naanza kuelekea upande upi!
Halafu we jamaa mbona unashadadia mwenzio akatae ndoaπππNenda hata kijijini huko ndichi ndichi uone nature ilivyo akili mbona itatulia tu
Aliuliza kuwa kumbe wanaume kwenye kuoa huwa wanaangalia kwenye list ya madem zake mwenye anafaa. Hajui kama wanakuwag kama set au playlistKwambaa?? π π sijasikia swali
Lakini na wewe si unamkubali jamaa?Basi tu labda mshamba wa mapenzi au ndo uzuri wangu upo kwenye macho yake au marafiki wana mpump kuwa ameopoa
Ila umemfanyia ukatili sasa nyege zake angemalizia wapi?Ndio nilikuwa nimeshaivua tayari kwa mashambulizi, Ile ameona trako na ips akanambia hivo mbn nilivaa haraka haraka nikaondoka mm
Achana Nae πanateseka na Mapenzi kulee Ulimwengu Wa Roho..Aliniambia "nataka nihakikishie, utanioa au nitafute mtu mwingine wa kunioa halafu sisi tuendelee tu kama washkaji"?
Nikajua lazima alikuwa amepata mtu mwingine ambaye ambaye ni anamuona bora kuliko mimi. Nikamwambia tafuta.... nilivyomsindikiza kutoka getho siku hiyo ndo ikawa mwisho wa kuonana mimi na yeye. Sijui yuko wapi siku hizi.
Una shs ngapi?Sina.
Naomba nitumie zako.
Simp ββπ€£Ndo tumekutana mara ya kwanza naenda likizo nyumbani, after three days ya kumspoil na bata na vizawadi vya hapa na pale..nikaenda Fanya shopping for my parents..cha ajabu kachukua package ya mama mkwe wake...kachambua alivyoona vinamfaa akaweka pembeni..aisee cjawahi chukia kama siku ile...cjawahi dharau mwanamke kama yule dada...
That was the last time niliiona sura yake
Na alikua anajua kua hiyo ni package ya mama?Ndo tumekutana mara ya kwanza naenda likizo nyumbani, after three days ya kumspoil na bata na vizawadi vya hapa na pale..nikaenda Fanya shopping for my parents..cha ajabu kachukua package ya mama mkwe wake...kachambua alivyoona vinamfaa akaweka pembeni..aisee cjawahi chukia kama siku ile...cjawahi dharau mwanamke kama yule dada...
That was the last time niliiona sura yake
Habari za weekend!
Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.
Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"
Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.
Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.
Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.
Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,
Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nac
We mjingaKuna mwanamke bhana ni mke wa mtu ila waliachana so akawa single maza. Nikaja kutana nae tukaanzq mahusiano nikawa nampa hela ndogo ndogo ef 30,50 zangu kazila nyingi tu. Kuna kipindi hadi nikampa 100k alipo nililia kuhusu shida yake flani. Ajabu ni kwamba nilipo Sogea karibu naye ambapo ndio ilikuwa mda mzuri ata wa kusuuza rungu kwa mara ya kwanza (wkt tunakutana nilikuwa mkoani) matukio yakaanza sasa.
Tukio la kwanza akaniambia J naomba tuachane naona siko sawa kuna mambo yananichanganya. Nikamuuliza mambo gani hayo na mbona gafla hivo majibu yakawa hayaeleweki ila akasimamia msimamo wake tu kuwa nimuache hayuko sawa kwa sasa na kwamba pindi akiwa sawa atanitafuta yeye mwenyewe ππ
Baada ya kuchunguza nikagundua kumbe amerudiana na mtu wake bhana dah niliumia sanaa... Sasa ikabidi nimchane ukweli kwa kumwandikia msg maana cm zangu alikuwa hapokei tena. Sasa baada ya kuisoma ile msg ndio akaanza kupokea cm zangu tena na hapo sasa ikabidi anichane live bila chenga kwamba kama niko tayari kushea na mtu wake basi fine ila kama sipo tayari nipite kushoto ππ NB:- kumbuka hapo hata mzigo sijaonja ndugu msomaji na plan ilikuwa kumuweka ndani kabisa la haulaaa....
Itaendelea...
Ata kumi mnafika ili kuwachuja kupata mke wa ukweli na uhakika, ndani ya kumi kuna Single mother hao ni wa kufanyia mazoezi na kuna binti mpole msikivu na muoga na mwenye hofu ya MunguKwani tunakuwaga kuanzia wangapi huko kwenye hesabuπ
Looh ππAta kumi mnafika ili kuwachuja kupata mke wa ukweli na uhakika, ndani ya kumi kuna Single mother hao ni wa kufanyia mazoezi na kuna binti mpole msikivu na muoga na mwenye hofu ya Mungu
ππππHuyu mdada yeye bana mimi najua ni mpenzi wangu.
Tunakaa sehemu anachezea simu kama kawaida wadada anapita huku na huko akiona MEME ananionyesha nacheka natia neno inapita.
Siku 1 akanionyesha MEME inasema..
"Kuna Yule X wako kila Mkiachana,Mkija kukutana Mna renew PENZI kama vile mmekutana jana hamjawahi achana"
Akimaanisha mimi ndio huyo X wake, sasa kimoyo moyo nkawa nawaza kwani Mimi huyu mtoto tumeachana Lini?
Maana kwenye mapenzi ugomvi wa hapa na pale haukosi ila sasa kwani sisi kugombana tushaachanaga kumbe? Aseee nikakausha ila kengele ya ALARM ikalia.
Sijamuacha BADO nasonga nae kama injili ila ndo kwangu saivi nmempa cheo cha Kipoozeo kama yeye anavyoniona mimi ni X wake.
WalaaLakini na wewe si unamkubali jamaa?
Umesema 1.5M ukampa mwanamke. Naomba Askari chukua huyu weka ndani, ataenda kujibuHabari za weekend!
Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.
Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"
Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.
Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.
Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.
Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,
Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
Mtu sio mke wako unampaje mtaji wa 1.5m? Umetuhaibisha baharia