Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Hahahahahfa
 
Na wew ungemshusha pale pale au jeuza gari yako ifate hyo vogue kisha msimamishe JAmaaa mshushe demu wako mpandishe kwenye hyo vogue
 
Kesi ya kwanza siyo shida mtu kukojoa vichakani kama ni usiku, mm nakunya kbsaa vzr tu
 
Ndio nilikuwa nimeshaivua tayari kwa mashambulizi, Ile ameona trako na ips akanambia hivo mbn nilivaa haraka haraka nikaondoka mm
Alimaanisha hata yeye akikuoa atafaidi. Wewe ulielewa nini?

Alafu ni kwa nini akuache uvue chupi mwenyewe? Alipaswa akuchezee mpaka ukose nguvu za kujivua umuombe akuvue.
 
"Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu",
Kauli kama hii Mimi ndio ilinikimbiza tofauti yeye hakuongea kama wako , wangu alikuwa anafanya kwa vitendo ,yeye hajali mm napitia nini anachotaka yeye awe na furaha na atimiziwe mahitaji yake bila kujali furaha yake itanicost kiasi gani .... Nikajisema moyoni sijaja dunian kukufurahisha wewe Mimi niumie nikaamua kufanya maamuzi magumu
 
Hongera kwa kupata mke mkuu, sisi wenzako tulioa ila kuna kipindi inafika unaona kabisa mkeo anakulazimisha kuvunja ndoa.
 
Tukafungie Ndoa kanisani. Kanisa lenyewe sasa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…