Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Lobbying, hahaha, bro Nisha pewa namba Nika ishia uko powa??.
Baada ya hapo, naona ka ni boring 🤣
Yes, msipo kua na common interests huwezi chati Sana.
Mimi na wife tulipo kua wachumba tulikua tunachat usiku mzima sms nyingi nyingi Ila kwa Sasa toka asubuh mpaka now hatuja chati chochote.
Jizoeshe mdogo mdogo..Ila Mimi na allergies na wanawake wenye tamaa na omba omba yaan nawaonaga ma vampire
 
Mshikaji mnachat mapenzi aiseee hatari nyie.
 
I lost someone like that, but it's nature.
 
Sasa kwann mama alimchomesha Binti yake
 
Mshikaji mnachat mapenzi aiseee hatari nyie.
Nadhani pia utakuwa hujaelewa koz nmeeleza fresh tulikuwa tunachat kuhusu yeye na babymama wake why wametengana akatoa sababu kibao pia akaongelea na hiyo tena ghafla ndio maana i felt offended nikamblock.....sidhani kama ni mapenzi tuliyokuwa tunachat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…