Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

Bby mama alikuwa anamnyimba mbususu 🤣🤣🤣🤣
 
Ukiniomba sex kabla ndoa 😉
Ukininyima hakikisha wewe ni bikra.

Maana nikikukuta huna bikra nawaita wazazi wako waje wakuchukue na sijali kuhusu gharama za harusi wala mahari niliyolipa.

Maana sisi wanaume kuambiwa "sikupi kitumbua hadi unioe" siyo kauli mbaya na tunai pendaga sana tukiamini huyu mwanamke anajitunza atakuwa sild bado.

Lakini mimi nivumilie alafu nikukute siyo bikra, my sister utafungasha virago na utaondoka.

Haiwezekani aliyekutoa bikra ulimpa bila masharti alafu mimi mwoaji unanipa masharti eti hadi nikuoe ndiyo unipe 😅😅😅
 
Alikuwa hampi ipasavyo labda..... yeye anataka ambinue hadi aone shimo fala sana yule jamaa🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Sasa jamani jamaa anahudumia mwanamke na mtoto alafu hamjui tuu ujue mbususu ya mwanamke aliyezaa i akuwa tamu kinomaaa so jamaa anataka kufaidi mambo bby mama nae anampimia utamu. Inakera sana
 
Niliwahi mnunulia demu wangu chupi dozen 1 ila zote zinafanana rangi,
alilalamika sana kwann namnunulia chupi rangi Moja?
,,,akasema watu watamuonaje huko nje ?

AISEE!!,,nikajisemea kimoyomoyo hapa Sina mwanamke ni jamvi la wageni.
 
I can only be a good father not a good husband😅🙌
 
Nilimwambia atakae kuoa atafaidi hii miuno.

Hadi leo hatuongei sijui nilikosea wapi.
 
We utakuwa nzuri sema unajiweka low key au kama sio hivyo basi una sifa nzuri za kuvutia ndio maana jamaa kapagawa kwako maana anaona kama akikupoteza itakuwa ngumu kupata mwanamke kama wewe au zaidi yako
atakuwa chombo huyu. si unaona hata anavyoongea.
 
Binti alimpanga mama yake waniombe pesa ya matibabu ya baba yao(kwamba mzee kalazwa etc), mama yake akanipigia kunieleza hilo suala, Kijana nikajitutumua nikatuma fasta....but kuonesha najali nikaanza ku-force kutaka kwenda kumuona huyo mzee na mimi, kona kona zikaanza...nikalazimisha kwenda bhana😀😀😀nilichokutana nacho nilimuogopa yule binti, nikamuogopa mama yake, inshort nikaiogopa ile familia nzima🤣
 
Kuna huyu alikula sahani mbili za wali maharage af akashushia na bia bingwa chupa tatu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…