7ve
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,458
- 4,000
Hahaha hiyo maiti?Yaani akilala kifo cha mende kalala iyo akugusi ata kifua ata kulia kwa uongo no
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha hiyo maiti?Yaani akilala kifo cha mende kalala iyo akugusi ata kifua ata kulia kwa uongo no
🙌🙌🙌 dunia ina mamboAliniambia "bebi Leo nataka uniharibie hicho la nyuma maana nimemisi sana".
Neno 'nimemisi' lilinifanya nigundue kuwa ni kawaida yake kuingiliwa kinyume na maumbile.
Nilimtosa.
Mkuu, dunia ina mambo hadi jogoo anaweza kutaga.🙌🙌🙌 dunia ina mambo
Yaan acha ty tembea uoneHahaha hiyo maiti?
Sasa ulitaka aendelee kununuliwa na wa miaka kabla yako? Ujuwe we ndiyo mwamba kwake wakati huo!Aliniomba hela ya kununua nguo ya birthday yake. Nikajiuliza miaka yote kabla ya kuonana na mm alikuwa ananunuliwa na nani?
Dah😂😂😂Mkuu, dunia ina mambo hadi jogoo anaweza kutaga.
"Mwanaume unapaswa kuhudumia" hebu ngoja kwanza "kuhudumia" kwa ajili ya lile tundu na titi zake au kuna kingine.... Aaa we hapo ngoja dereva anishushe... Sivumilii kauli au mtazamo wa aina hiiMimi mwanamke yeyote akisha niambia "mwanaume ndio unapaswa kuhudumia" Tuna achana on the spot.
Hiyo ni Red flag ya kwamba huyo ni parasite.
Akahudumiwe na babake.
Hii ngumu kumeza labda kama uwe bikraUkiniomba sex kabla ndoa 😉
Jamaa sijui huwa anawaokotea wapi madem wa ajabu ajabu hivyo?Wewe unapenda sana kulalamika kuhusu wanawake zako
Na ukifa hatukuziki kwenye sanduku la Hela bali tunakuzika kwenye udongo ukaliwe na mchwaSie tunatafuta hela
Achia namba 0714 halafuGame ya kwanza, nimekoza kiuno wee na mbele, kesho yake ananiuliza, hutumii Tigo?
Nikasema huyu sipigi tena na sioi.
Wewe unagusa kusiko tumeoa huko MuraAliniambia ye ni mpare
Kwa hiyo Bado imebana?Ukiniomba sex kabla ndoa 😉
Kitu Brand new 👌Kwa hiyo Bado imebana?
👌 kitu silidiiiiHii ngumu kumeza labda kama uwe bikra