Just Sanguine
Member
- Dec 7, 2023
- 27
- 42
Usituchekeshe wana jfUkiniomba sex kabla ndoa 😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usituchekeshe wana jfUkiniomba sex kabla ndoa 😉
😂Kitu silidiiiii
Hapa nimeliacha nna week sasa sirudi nyuma man af lime hitim degree chuo cha uhasibu .... hapa litaanza kujileta karibu na kipindi cha graduation ila sitoweza endaHahaha oyaaaa ilo ni lijini man kimbiaa mwendo wa kasongoooo
Hilo kalai kama langu tu shenzi. Af ukili rekebisha sasa haliskii linakua bishi shenzi.Binti wa kwanza alishinda kupika dagaa vizuri , nilijua kwa huyu nitakufa na njaa au nitakula chakula sio kitamu
Binti wa pili. Nilimpatia laki moja , bila ya kumuelekeza matumizi , nilivokuja kumuuliza ameitumiaje? Vyote alivyonunua havikua vya msingi kwa upande wangu hata kwake pia niliona hili ni dish litaharibu mambo mengi mbeleni
Kwamba akiolewa na mwingine...... Maana yake mlikuwa wengi!Habari za weekend!
Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.
Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"
Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.
Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.
Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.
Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,
Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
Hatuwezi vumilia ujinga na hatulei ujinga wala hatuchek na nyaniWanaume wengi sasa hivi hawana vifua, inasikitisha sana
Uwe bikra fresh nasubiriUkiniomba sex kabla ndoa 😉
Unaonekana Una very sharp mind hasa kwenye reasoning. Hongera Sana!Tupo kwenywe uchumba zaidi ya mwaka mmoja na kila siku tunapanga mipango.. Kuna siku aliniuliza hivi baby una mpango gani namimi!?
Nikamuuliza kwamba wewe ndio special sana au kwanini uskilize una mpango gani na mahusiano yetu..akanuna ni nikamblock nikatafute bebe mwingine mtaani yeye amebaki kuomba msamaha kila siku
🤣🤣🤣Niliamua kumtoa out huko sehemu za starehe tule tunywe na kulala hoteli kubwa .
Tukiwa pale akaingia bwana mmoja ana kakitambi ka kiasi hakijafika kwangu si demu anadai simpendi mwanamume mwenye tumbo tumbo Kama huyo baba .
Anaongea huo ujinga wake ilihali na Mimi namiliki tumbo kubwa kuliko hata huyo bwana ,Basi nikajua hapa sipendwi ,ikawa njia ya kukaacha ka sharifa
Sifa ya mwanaume kamili ni kuwa na kifua. Kwa matatizo yake na mwanamke wake pia. Ni sahihi wote kuwa na kifua ila it matters alot kwa mwanaumeMbona Hujasema kuhusu wewe, umesema Wengine?
Tutasolve tatizo kweli?
Mada nzuri lakini punguza kuweka neno ''bhana'' bila umuhimu wowote. Mimi nilikuwa na girl friend ambaye kila wakati ninapomtania kwa kumwambia ''mbona jana sikukuona, au ulikuwa na mwingine?'' Yeye alikuwa anajibu ''na hili joto lote la mchana la Dar jamani?'' Nikawa najisema kama hamna joto ina maana anaweza kufanya lolote.Habari za weekend!
Kuna baadhi ya maneno watu wetu wa karibu wakiongea huwa yanatuumiza sana, sometimes inapelekea kupoteza interest ya kujenga maisha na huyo mtu.
Kuna mwanamke flani nilikuwa naye kwenye mahusiano takribani miaka 2, kuna siku bhana akaniuliza "hivi baby hata nikiolewa na mtu mwingine si tutakuwa tunakutana kisirisiri tunafanya mambo yetu?"
Kwa harakaharaka nikamjibu nikamjibu "ndio", ila ile kitu haikukaa vizuri kichwani mwangu, nilimwona kama mtu mwenye roho ya usaliti, kama anaweza kumfanyia mume wake hivyo si anaweza hata kunifanyia mimi.
Siku nyingine huyohuyo mwanamke akanambia maneno haya "Mimi sijali kuhusu matatizo yako, wewe ni mwanaume, wewe ndio inabidi ujali kuhusu matatizo yangu", baada ya hapo nikiwa simchukulii serious kabisa, wala sikutegemea mahusiano yetu yafike stage za kuoana.
Mwingine bhana alikuwa akiniomba hela afanye biashara, kuna siku alinieleza vizuri kabisa kuhusu hio biashara nikaipenda, nikamuahidi ntampa hela aanze, ilikuwa ni 1.5M.
Hio hela nilimpa kama baada ya wiki moja hivi, siku zilizofata nikawa nafatilia maendeleo yake na amefikia wapi, akawa tu ananiambia anasubiri vibali na issue zingine, mimi ilifika kipindi nikapotezea, kuna siku sasa mama ake akanipigia, ndio akaniambia kila kitu, ile hela bhana aliitumia kununua nguo, viatu, vipodozi, kabati la nguo na vikorokoro vingine,
Halafu ukizingatia sio mtu ambaye alikuwa hana nguo au anavaa vibaya, lahasha, hii kitu ilinifanya nipoteze interest kabisa na huyu mwanamke, nikawa namuona sio wife material kabisa, nilivoongea nae akasema sijui mambo hayakukaa sawa sijui kuna hela alizulumiwa, sababu kibao alitoa, nilimshangaa sana, hadi leo nikikumbuka nabaki nacheka tu.
Sawa mkuu ila punguza hasira kidogo.Hatuwezi vumilia ujinga na hatulei ujinga wala hatuchek na nyani
Koleo koleo kijiko kijiko
Sawa, umempamba Mwanaume kamili.Sifa ya mwanaume kamili ni kuwa na kifua. Kwa matatizo yake na mwanamke wake pia. Ni sahihi wote kuwa na kifua ila it matters alot kwa mwanaume
Na nikikuoa siku 3 nile nisepeUkiniomba sex kabla ndoa 😉
...Na nikikuoa siku 3 nile nisepe
Kuna ile mwanamke anakuja kwenye maisha yako kwa kufosi mwsho wa siku unaamua kukaa nae gheto anakuwa mke,unashangaa siku umepinda labda unajisemesha kwake unamwambia nina magumu hata sjui nitafanyaje lakin ajabu anakujibu kuwa " kwani ulilazimishwa kuoa,mwanaume pambana" sasa unawaza kuwa keshasahau kuwa alikuja kwenye maisha yako kwa kung'ang'aniaMimi mwanamke yeyote akisha niambia "mwanaume ndio unapaswa kuhudumia" Tuna achana on the spot.
Hiyo ni Red flag ya kwamba huyo ni parasite.
Akahudumiwe na babake.