Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Nilipo gundua akili Hana nikasema ntawapa shida watoto.🤣🤣🤣🤣 Alafu itakiwa alikuwa na tako zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilipo gundua akili Hana nikasema ntawapa shida watoto.🤣🤣🤣🤣 Alafu itakiwa alikuwa na tako zuri
Usimkatishe tamaa mwanamke aliyejitunza bwana. Atapata tuu wakumuoa sio wote duniani ni tomber tomber kama mzabzab.Hakuna mtu atakubali kukuoa bila kumtomba. Wake up its 2024.
Mkuu, upo powaaKo hao ndo Ume wapa gridi ya taifa 🤣
Sii unazaa tuu wakike mwanawane...wanatoka watkto wazuri basi wee nimusu iria ngombe tuuNilipo gundua akili Hana nikasema ntawapa shida watoto.
Niite raisi wa ma jobless pro maxMkuu, upo powaa
☺️😊 Tupe mkasa mmoja mkuuNiite raisi wa ma jobless pro max
🤣🤣🤣🤣 hata sijui kwanini kaka ila niliona kama ametuaibisha sisterhood nzima nilinuna mno na ushkaji ukafa kabisa. Ni kauli ya kuidhalilishaji kabisanyinyi si washkaji, why ukasirike😂
Sijamkatisha tamaa, nimemweleza kweli. Akikaa hivyo hivyo akaolewa na jamaa ndani akakuta jamaa mashine haisimami ? Si atatoambwa nje? Maana nlivyosema hivyo sio upande mmoja ni pande zote...Usimkatishe tamaa mwanamke aliyejitunza bwana. Atapata tuu wakumuoa sio wote duniani ni tomber tomber kama mzabzab.
Wacheni dada wa watu akaze hapo hapo ata kama akifa na utamu wake wacha afe nao 🤣🤣🤣🤣🤣
Hii kiboko🤣🤣🤣🤣🤣Kuna ile mwanamke anakuja kwenye maisha yako kwa kufosi mwsho wa siku unaamua kukaa nae gheto anakuwa mke,unashangaa siku umepinda labda unajisemesha kwake unamwambia nina magumu hata sjui nitafanyaje lakin ajabu anakujibu kuwa " kwani ulilazimishwa kuoa,mwanaume pambana" sasa unawaza kuwa keshasahau kuwa alikuja kwenye maisha yako kwa kung'ang'ania
Mweee wee nae utoto wakusumbua sasa kumbinua aone shimo la uzazi sii kuona maku sii ndio shimo la uzazi au kuna lingine ambalo hatulijui utuelezeHakuwa mpenzi wangu ila alikuwa mshikaji tuu, Siku hiyo tunapiga stori akasema " mimi napenda mwanamke nimbinue mpaka nione shimo la uzazi" Yaani pale pale ilikuwa total turn off nikamblock kabisa na ushikaji ukafa maana kiukweli nilimdharau sana na nikawaonea huruma mademu zake.
Maana mwanaume anayejiheshimu na kujielewa hawezi kuongea kauli za kiwaki kama hizo.Nilijisemea hamna kitu hapo.
ali kuona mshikaji, so aka funguka kishkaji. Nothing huge.🤣🤣🤣🤣 hata sijui kwanini kaka ila niliona kama ametuaibisha sisterhood nzima nilinuna mno na ushkaji ukafa kabisa. Ni kauli ya kuidhalilishaji kabisa
Mi Sina mpenzi, maana Kelsea ali nikataa☺️😊 Tupe mkasa mmoja mkuu
Issue yetu tutafutane baadae mpaka najisikia vibaya.
Ila ntaifanya sawa.
SIo utoto bwana according to story alimaanisha anataka amkunje demu wake mpaka aone ndani ya maku sasa si ujinga huo.....sio kitu cha kuongea hadharani tena kwa ke bora hata angekuwa anasimulia Me mwenzie.....kwangu ilikuwa kind of awkward and embarrasingMweee wee nae utoto wakusumbua sasa kumbinua aone shimo la uzazi sii kuona maku sii ndio shimo la uzazi au kuna lingine ambalo hatulijui utueleze
Wapenzi wa mtandaoni sio wazuri tafuta physically..Mi Sina mpenzi, maana Kelsea ali nikataa
Ila na wewe inao ekana ulikuwa umezoeana nae vibaya mpaka anatamka hayo maneno in ur face.SIo utoto bwana according to story alimaanisha anataka amkunje demu wake mpaka aone ndani ya maku sasa si ujinga huo.....sio kitu cha kuongea hadharani tena kwa ke bora hata angekuwa anasimulia Me mwenzie.....kwangu ilikuwa kind of awakward and embarrasing
Just joking bro, beside nakutana na wanawake wengi maybe 40 pisikali hii top.Wapenzi wa mtandaoni sio wazuri tafuta physically..
Kwani kwenye mishe mishe na mtaani huonani nao..
Na sababu kubwa iliyofanya nione ni awkward ni kwamba hatukuwa na mazoea kupitiliza ya kuongea hivyo na tulikuwa tunachat kweli ndio maana nikamblock kabisa.Ila na wewe inao ekana ulikuwa umezoeana nae vibaya mpaka anatamka hayo maneno in ur face.
Mara nyingi hayo tunakuwa tunachat bwana.
Ebu na wewe jitathmini
Haaahaa, miaka mingi imepita ilikua saa 12 jion nilijilipua nikamfuata dada mmoja ilikua maeneo ya mbagala rangi 3 nilikua stranger kwake akaniogopa..sijajua kwanini aliogopa hakusimama nikamfuata akaongeza speed 🏃🏃🏃🏃Just joking bro, beside nakutana na wanawake wengi maybe 40 pisikali hii top.
Shida mambo ni mengi, hata kutongoza Nisha sahau🤣😂
Lobbying, hahaha, bro Nisha pewa namba Nika ishia uko powa??.Haaahaa, miaka mingi imepita ilikua saa 12 jion nilijilipua nikamfuata dada mmoja ilikua maeneo ya mbagala rangi 3 nilikua stranger kwake akaniogopa..sijajua kwanini aliogopa hakusimama nikamfuata akaongeza speed 🏃🏃🏃🏃
Mara moja moja unatakiwa ujipime uone Kama una MBINU za kumfanyia lobbying mtu ☺️😊