Mpenzi wako kukataa kukupa penzi kwa madai anaumwa kiuno, hakuna dalili ya kupigiwa?

Mpenzi wako kukataa kukupa penzi kwa madai anaumwa kiuno, hakuna dalili ya kupigiwa?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hawa viumbe wanamajaribu sana. Mtu anajua kabisa huna mahala pa kupiga mzigo zaidi yake. Unamuita kwa geto ili upige shoo. Anakuja na anadai hawezi kukupa tena anadai kiuno ndio kipo hoi.

Huyu mtu kweli ni muaminifu? Hicho kiuno kuumwa kinaumwa bila shoo ya pembeni?
 
Sasa mbona umeshindwa kiuwepesi sana?

Jidai mpole.
Muambie pole, mkumbatie. Jidai kutaka kumkanda kiuno. Taratiibu unam-massage huku ukishuka shuka kwa kubinya binya makalio yake.

Unashusha sketi kidogo ili uweze kumkanda vema huku ukimuongopea, nikifanya hivi utapona. Akili kumkichwa. Malizia hatua zinazofuata, kula mzigo.

Kama bado angelibania, mzee umechapiwa.
 
Ila mda mwingine sisi wanaume tunazingua. Ina maana ukiwa na kipururu chako wewe unataka tu kumpanda mtoto wa watu kama farasi hutaki kusikia anaumwa?

As long as ni binadamu kuna kuumwa, kuna kuchoka na mambo mengine. Tujaribu kuelewana na kuvumiliana. Mda mwingine ukimwita ghetto labda alipo ana stress za maisha anakuja anahitaji maneno yakumfariji na sio kupelekewa moto mkuu.

Tusifanye kwichikwichi kuwa kipaumbele cha mahusiano. Kuna mambo mengi ya muhimu kuzidi hilo.
 
Sikia kakaangu hebu jiulize mwenyewe shida ni shoo mbovu?

Au kila akija kwako ni shoo tu hakuna excuse?

Usiwaze kuhusu kuchapiwa
 
Km unafanya vizuri na anafika anakotaka kwa furaha zoooote!!! Aseee!!! Lazima akudandie tu....tena anaona umemsaidia mnooo!!

Lkn km unamuacha njia panda kila siku au mara kwa mara lazima akuchoke tu.....au kukuacha kabisa....
 
Ila mda mwingine sisi wanaume tunazingua. Ina maana ukiwa na kipururu chako wewe unataka tu kumpanda mtoto wa watu kama farasi hutaki kusikia anaumwa?

As long as ni binadamu kuna kuumwa, kuna kuchoka na mambo mengine. Tujaribu kuelewana na kuvumiliana. Mda mwingine ukimwita ghetto labda alipo ana stress za maisha anakuja anahitaji maneno yakumfariji na sio kupelekewa moto mkuu.

Tusifanye kwichikwichi kuwa kipaumbele cha mahusiano. Kuna mambo mengi ya muhimu kuzidi hilo.
Waambie.
 
Ila mda mwingine sisi wanaume tunazingua. Ina maana ukiwa na kipururu chako wewe unataka tu kumpanda mtoto wa watu kama farasi hutaki kusikia anaumwa?

As long as ni binadamu kuna kuumwa, kuna kuchoka na mambo mengine. Tujaribu kuelewana na kuvumiliana. Mda mwingine ukimwita ghetto labda alipo ana stress za maisha anakuja anahitaji maneno yakumfariji na sio kupelekewa moto mkuu.

Tusifanye kwichikwichi kuwa kipaumbele cha mahusiano. Kuna mambo mengi ya muhimu kuzidi hilo.
Kunywa soda kwa hela yako aisee



Umenena!!!
 
Kunywa soda kwa hela yako aisee



Umenena!!!
Ila mda mwingine sisi wanaume tunazingua. Ina maana ukiwa na kipururu chako wewe unataka tu kumpanda mtoto wa watu kama farasi hutaki kusikia anaumwa?

As long as ni binadamu kuna kuumwa, kuna kuchoka na mambo mengine. Tujaribu kuelewana na kuvumiliana. Mda mwingine ukimwita ghetto labda alipo ana stress za maisha anakuja anahitaji maneno yakumfariji na sio kupelekewa moto mkuu.

Tusifanye kwichikwichi kuwa kipaumbele cha mahusiano. Kuna mambo mengi ya muhimu kuzidi hilo.
Umenena vyema.
 
Ila mda mwingine sisi wanaume tunazingua. Ina maana ukiwa na kipururu chako wewe unataka tu kumpanda mtoto wa watu kama farasi hutaki kusikia anaumwa?

As long as ni binadamu kuna kuumwa, kuna kuchoka na mambo mengine. Tujaribu kuelewana na kuvumiliana. Mda mwingine ukimwita ghetto labda alipo ana stress za maisha anakuja anahitaji maneno yakumfariji na sio kupelekewa moto mkuu.

Tusifanye kwichikwichi kuwa kipaumbele cha mahusiano. Kuna mambo mengi ya muhimu kuzidi hilo.
Wee ni mwanaume na nusu[emoji123]

Unakuta limwanaume linadili na mbunyee tu, hana kingine kwako zaidi ya sex!

Tupaa kulee [emoji57][emoji57]
 
Bado ni mchumba hamjaoana, ukiona mkiona bado mambo yatakuwa vile,tafuta mwingine. Watu wa jinsi hiyo wanasababisha chanzo cha nyumba ndogo.
 
Back
Top Bottom