Mpenzi wako kukataa kukupa penzi kwa madai anaumwa kiuno, hakuna dalili ya kupigiwa?

Mpenzi wako kukataa kukupa penzi kwa madai anaumwa kiuno, hakuna dalili ya kupigiwa?

Ila mda mwingine sisi wanaume tunazingua. Ina maana ukiwa na kipururu chako wewe unataka tu kumpanda mtoto wa watu kama farasi hutaki kusikia anaumwa?

As long as ni binadamu kuna kuumwa, kuna kuchoka na mambo mengine. Tujaribu kuelewana na kuvumiliana. Mda mwingine ukimwita ghetto labda alipo ana stress za maisha anakuja anahitaji maneno yakumfariji na sio kupelekewa moto mkuu.

Tusifanye kwichikwichi kuwa kipaumbele cha mahusiano. Kuna mambo mengi ya muhimu kuzidi hilo.
Will you marry me? 😆😆
 
Duh,
Enyi wanaume ni nani aliewaroga?
Mtu kuumwa kiuno ndo unachapiwa?mtu asiumwe?nunueni wadoli wale muishi nao basi mana wale hawaumwi 24/7
 
Ngoja uoe utaambiwa "we nae kila siku umezidi" halafu ukiacha kuomba utasikia "haya nenda kwa malaya zako, zamani haukuwa hivyo"🤣
 
Mwanamke akianza kukunyima uchi ndo basi tena,ukiweza kumvua mwanamke nguo ndo umemtawala usipoweza jua you are not the one....wee kimbia hapo
 
Back
Top Bottom