Mpenzi wako kukataa kukupa penzi kwa madai anaumwa kiuno, hakuna dalili ya kupigiwa?

Will you marry me? πŸ˜†πŸ˜†
 
Duh,
Enyi wanaume ni nani aliewaroga?
Mtu kuumwa kiuno ndo unachapiwa?mtu asiumwe?nunueni wadoli wale muishi nao basi mana wale hawaumwi 24/7
 
Wee ni mwanaume na nusu[emoji123]

Unakuta limwanaume linadili na mbunyee tu, hana kingine kwako zaidi ya sex!

Tupaa kulee [emoji57][emoji57]
Ukiona wa hivyo ujue hakupendi anakuona tu sex toy.
 
Ngoja uoe utaambiwa "we nae kila siku umezidi" halafu ukiacha kuomba utasikia "haya nenda kwa malaya zako, zamani haukuwa hivyo"🀣
 
Sioni kazi ya kiuno kwa mwanamke kitandani.
 
Mwanamke akianza kukunyima uchi ndo basi tena,ukiweza kumvua mwanamke nguo ndo umemtawala usipoweza jua you are not the one....wee kimbia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…