Mpenzi wako sio ndugu yako

Mpenzi wako sio ndugu yako

Wanawake na nyie mtafute Msemaji wenu, Sidhani siku zote mahusiano yanavunjwa na mwanamke tu , Tunazungumzia vipi tunaodate na wanawake kutimiza haja zetu na kisha kuwaacha tukiwa tumewapotezea muda l??
Ujumbe anaofikisha mtoa post ni kuwa wanaume wasi rely kwa mwanamke sana hata wakasahau maisha yao, anytime wanaweza sepa and wakakuacha despite ulijitoa sana kwao
 
Ujumbe anaofikisha mtoa post ni kuwa wanaume wasi rely kwa mwanamke sana hata wakasahau maisha yao, anytime wanaweza sepa and wakakuacha despite ulijitoa sana kwao
Katika mahusiano mwanaume ndie anasaidia zaidi, mwanaume ndie anawekeza zaidi kwa maana iyo mahusiano kwa mwanamke ni win-win wakati huo kwa mwanaume ni loss.

Mwanamke mbususu yake tu inatosha kuingia kwenye mahusiano wakati mwanaume mjegeje wako pekee hautoshi ku-sustain mahusiano.

Hii liability ya mahusiano lazima iwe calculated, tusikae kizembe.
 
Wanawake na nyie mtafute Msemaji wenu, Sidhani siku zote mahusiano yanavunjwa na mwanamke tu , Tunazungumzia vipi tunaodate na wanawake kutimiza haja zetu na kisha kuwaacha tukiwa tumewapotezea muda l??
Pluto did I hear you say " kumpotezea muda?"
Mkuu ulikusudia au limekuponyoka tu?
 
Mwanaume kumbuka kwamba uyo Lusifa unaemuita mke, mchumba, baby n.k sio ndugu yako uyo, ni stranger tu ambae umekutana nae ukubwani akakubali kujiweka kwako kwa masilahi yake, ana uhuru wa kufanya maamuzi ya kukuacha bila kujali sacrifices zote ulizofanya kwa ajiri yake, na kama cheti cha ndoa kipo atapata na mgao wa mali zako.

Hata siku moja mwanaume usifanye kosa la kumweka mwanamke awe katikati ya pesa, furaha au malengo yako.

Understand that a woman live in the moment, everything she is telling you is based on the moment, her loyalty is pledged to the feelings of the moments, if you fail to know this now you will suffer in the long run.

Stop investing in a woman, stop trying to build your life around a woman, it will not end well for you, a waman's loyalty is never guaranteed at any time.

I love you, i love you my brothers.
Ndio maana hupati ajira...
 
Back
Top Bottom