Mwanaume kumbuka kwamba uyo Lusifa unaemuita mke, mchumba, baby n.k sio ndugu yako uyo, ni stranger tu ambae umekutana nae ukubwani akakubali kujiweka kwako kwa masilahi yake, ana uhuru wa kufanya maamuzi ya kukuacha bila kujali sacrifices zote ulizofanya kwa ajiri yake, na kama cheti cha ndoa kipo atapata na mgao wa mali zako.
Hata siku moja mwanaume usifanye kosa la kumweka mwanamke awe katikati ya pesa, furaha au malengo yako.
Understand that a woman live in the moment, everything she is telling you is based on the moment, her loyalty is pledged to the feelings of the moments, if you fail to know this now you will suffer in the long run.
Stop investing in a woman, stop trying to build your life around a woman, it will not end well for you, a waman's loyalty is never guaranteed at any time.
I love you, i love you my brothers.