Mpenzi wangu aliniacha sababu boksa zangu ni za vitenge!

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
Alijua moja kwa moja hyu baba ni bahili, kama atatunza Pumb,,u kwa vipande vya kanga kitumbua sindio atakifunika na majani
Nimewaza kama wewe,hilo ndio jibu lake.
Wanawake hufurahia kukaa sehemu ambako kuna mvuto na muonekano wa kipesa hata kama hautamuonga sasa hivi kwake hakuna tatizo anajua huko mbeleni atazinasa tu.
Sasa akapiga hesabu kama huyu mtu ni bahili hata wa kununua boksa za buku 3 je ataweza kuhonga elfu 50 au laki 1 kweli
 
Pole mdau .unaniona mimi mwenzio ni muumini wa Ile dhana mwamba nguo na nguo za ndani hazina nafasi katika mahusiano kwasababu wakat wa show itabidi uzivue unconscious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…