Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Aaah mi sirudi tena. Nishapanda abood narudi 'mlogolo'Nilichelewa kumpatia taarifa ya Ujio wako pale, tafadhali fika kabla ya muda wa kazi kuisha atakuhudumia 🤗
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah mi sirudi tena. Nishapanda abood narudi 'mlogolo'Nilichelewa kumpatia taarifa ya Ujio wako pale, tafadhali fika kabla ya muda wa kazi kuisha atakuhudumia 🤗
Haya uje Ofisi ya Waziri Mkuu, nimekuja kukupokea Mimi mwenyewe Mjukuu 🤗Aaah mi sirudi tena. Nishapanda abood narudi 'mlogolo'
Secretary kaniambia you are not "availabo" ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜Haya uje Ofisi ya Waziri Mkuu, nimekuja kukupokea Mimi mwenyewe Mjukuu 🤗
Hahahaha.................pale mbinu za Mwaka 47 zinavyoshindwa kufanya kazi Mwaka 2024 😜Secretary kaniambia you are not "availabo" ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Hebu ongea kiswahili babu😂Hahahaha.................pale mbinu za Mwaka 47 zinavyoshindwa kufanya kazi Mwaka 2024 😜
Bora tumezeeka sasa 🙌
Akuwa yupo vizuri ndio mana analia...😃😃😃Uko seriously au unatania?
Tukuulize je yuko vzr kwenye hayo mahusiano yenu au chenga tu?
Wazee tumezoea Lugha ya picha 😜Hebu ongea kiswahili babu😂
Kama kadude kana fit vizuri kwenye jotojoto utelezi, freshy tu endelea nae. Kudanganywa umri tu unalia.Nina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.
Hana kazi au hana akili ?Kudanganywa umri ndio unalia.. Huna kazi?
Hizo lugha za vijana, wazee hatuziwezi.Wazee tumezoea Lugha ya picha 😜
😅🚶🚶🚶Hizo lugha za vijana, wazee hatuziwezi.
Wanawake kwa kweli mna matatizo ya kiakili, si bora huyu kakudanganya maana angekuambia ukweli usingemkubalia kwani ninyi mmeumbwa kupenda uwongo tu. Usimlaumu huyu dogo, wanawake mnadanganya sana wanaume kwa kuchanganya akili hata na watoto wao. Unakuta mtoto ana ubini wangu wa Mbongo Halisi na kazalıwa mwaka fulani kumbe nyumbani mtoto huyo huyo ana ubini mwingine na kazaliwa mwaka tofauti kabisa.Nina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.
Pole sanaNina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu, lakini kumbe kanidanganya kuhusu umri wake. Mimi ni mwanamke, nimezaliwa mwaka 1994, na yeye ni mwanaume, kazaliwa mwaka 1998. Nimegundua hili baada ya kuona cheti chake cha kuzaliwa.
Leo nimekaa chumbani, nalia na mto wangu tu, nikiwa na maumivu makubwa. Nimedanganywa! Nimedanganywa jamani! Aaaah! Nalia Mimi mwezenu kwa sababu nilimpenda sana mwanaume huyu na sasa nashindwa kuendelea na maisha bila yeye. Yoyo, nifanyeje? Nimedanganywa... angalieni hizi chati jamani! Yoyo, amenipotezea muda wangu.
Ninajiuliza nitampata wapi mtu wa umri wangu ambaye nitampenda? Mapenzi ni kitu kigumu; unaweza kumpata mtu wa umri wako lakini asikuvutie hata kidogo. Nimechanganikiwa jamani, nisaidieni mwezenu tafadhali.