Mpenzi wangu alinidanganya umri

Mwanamke anapenda Kila azidiwe na mwanaume yaani wao always or naturally Wana trade lowest value to highest value from men
 
Secretary kaniambia you are not "availabo" 😭😭😭😭
Hahahaha.................pale mbinu za Mwaka 47 zinavyoshindwa kufanya kazi Mwaka 2024 😜

Bora tumezeeka sasa 🙌
 
Unalizwa na mdogo wako? Embu grow up.
 
Kama kadude kana fit vizuri kwenye jotojoto utelezi, freshy tu endelea nae. Kudanganywa umri tu unalia.
 
Ukimuacha tu huyo tayar umeharibu, we ishi nae mbona amna shida, kikubwa akuzidi akili tu na nguvu basi
 
Wanawake kwa kweli mna matatizo ya kiakili, si bora huyu kakudanganya maana angekuambia ukweli usingemkubalia kwani ninyi mmeumbwa kupenda uwongo tu. Usimlaumu huyu dogo, wanawake mnadanganya sana wanaume kwa kuchanganya akili hata na watoto wao. Unakuta mtoto ana ubini wangu wa Mbongo Halisi na kazalıwa mwaka fulani kumbe nyumbani mtoto huyo huyo ana ubini mwingine na kazaliwa mwaka tofauti kabisa.
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…