Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Hiyo ni sawa bwana haswa kipindi kile hakuna kikokotoo.. mzee kama wewe nasubiria utandikwe na Sukari na Stroko😂 . Ngoja nikuitie wakili wa utetezi Hope urassa team vibabu jukwaa lakoUtofauti wa miaka minne (4) unaona Mkubwa?
Vipi nyie Ke mnaoweza Kudate na Wazee wa Miaka 65 wakati huo Ke ana miaka 25 mnaona ni sawa?
Ndio.Vipi nyie Ke mnaoweza Kudate na Wazee wa Miaka 65 wakati huo Ke ana miaka 25 mnaona ni sawa?
Hahaha...........basi iwe fair nanyi pia mkidetiwa na hao teenagers 😜Ndio.
cold water kweli yamekufika shigoni ?Nina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu jamani kumbe kanidanganya umri Mimi ni ke nimezaliwa 1994 yeye me kazaliwa 1998 nimegundua ili baada ya kuona cheti cha kuzaliwa nalia na mto wangu tu Leo chumbani,nimedanganywa!!!! Nimedanganywa jamani hiii!!!! hiii!!! Aaaah!!! Nalia Mimi mwezenu mwanaume nilimpenda sana nashindwa Ku move on yoyo Mimi jamani nifanyeje nimedanganywa....angalieni chati izi jamani yoyo!!!!! Amenipotezea mda wangu.Ninachowaza nitampata wapi wa age yangu na nikampenda mana mapenzi bhana unaweza ukampata wa age yako lakini hakuvutii kabisa nimechanganikiwa jamani nyie mnisaidie mwezenu.
Hahaha.........Wazee na Mabinti wa Dogo ni Pete na kidole 🤗Hiyo ni sawa bwana haswa kipindi kile hakuna kikokotoo.. mzee kama wewe nasubiria utandikwe na Sukari na Stroko😂 . Ngoja nikuitie wakili wa utetezi Hope urassa team vibabu jukwaa lako
Pole naona hilo so tatizo kwa msaada zaidi njo DM mimi nimeoa ntakupa experience age is just number ni uhalisia pia kumbuka nowadays kwenye ndoa hakuna kwenda kuzaa watoto wengi kama zamani mnaweza kuzaa watoto watatu maisha yakaendelea mkaona no problemNina mpenzi ambaye tumedate mwaka mmoja na nusu jamani kumbe kanidanganya umri Mimi ni ke nimezaliwa 1994 yeye me kazaliwa 1998 nimegundua ili baada ya kuona cheti cha kuzaliwa nalia na mto wangu tu Leo chumbani,nimedanganywa!!!! Nimedanganywa jamani hiii!!!! hiii!!! Aaaah!!! Nalia Mimi mwezenu mwanaume nilimpenda sana nashindwa Ku move on yoyo Mimi jamani nifanyeje nimedanganywa....angalieni chati izi jamani yoyo!!!!! Amenipotezea mda wangu.Ninachowaza nitampata wapi wa age yangu na nikampenda mana mapenzi bhana unaweza ukampata wa age yako lakini hakuvutii kabisa nimechanganikiwa jamani nyie mnisaidie mwezenu.
😂😂😂😂😂😂😂Kudanganywa umri ndio unalia.. Huna kazi?
Wewe msenge nini!?
Sorry mamba mpya sio DM kwenye jf tunaita PMPole naona hilo so tatizo kwa msaada zaidi njo DM mimi nimeoa ntakupa experience age is just number ni uhalisia pia kumbuka nowadays kwenye ndoa hakuna kwenda kuzaa watoto wengi kama zamani mnaweza kuzaa watoto watatu maisha yakaendelea mkaona no problem