Mpenzi wangu alinidanganya umri

Sasa mtoto mdogo hivyo unakuwa na mvi ni laana au? Hakikisha ziambatane na pesa.
Mvi hizi ni za Uzee Mjukuu 🤗

Ukija kuniletea Kiko Babu yako utaona nilivyozeeka 😜
 
Vizuri umejua hayo sasa na Maisha yanaend Lea tuliza mafuta hayo mwanamke hakuna aliekamilika
 
ipi afadhali kudanganywa umri na mtoto au kulawotiwa ja RC mwenye PhD?
 
Nenda kamsemee kwa mama ake amchape
 
Shida n hiyo 30 na hiyo 26 hahaaaaaa......

Naukute umekufa na kuoza,
Pole
 
Aisee pole sana. Hakikisha unamfikisha Polisi ili afunguliwe kesi ya kujipatia demu kwa njia ya udanganyifu
 
Wakuu huyu Dada apuuzwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…