Mpenzi wangu alinidanganya yeye ni bikra!

mzee utanunuaje simu ikiwa ndan ya box pasipo kuikagua umechagua iphone umekutana na itel[emoji23][emoji23]
 
kwanz hapo unachakata pemben na yeye anachakachuliwa pemben yan kifup ww ni lofaaaa
 
Wewe ulikuwa nayo before? Huwezi muuliza mwenzako hilo swali wakati wewe hukuwa nayo, wote hamkuwa waaminifu kwa mwenzake
 
Mkuu Kwan ulohaidiwa kweny kampeni za ccm yote yako sahihi
 
Licha ya kupata heshima kupata binti bikra ila kama huo u-bikra hauna positive impact kwenye mfumo wa maisha yenu basi nawashangaa sana mnaowaobeza mabinti ambao sio bikra.
 
Hilo nalo neno!
 
Get creative.Huyo bado bikra.Wewe ndo hujajua JInsi ya kutoa BIkra
 
Chaiii
 
Nini Bikr
Nini Bikra, hata angekuwa na mtoto lakini ana sifa za kuwa Mke sioni tatizo.
Ni afadhali ambaye hana na anatambua thamani ya utu wake kuliko aliyenayo akashindwa kutunza thamani ya utu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…