Mpenzi wangu ameniambia "Wanawake tunataka pesa"! Je, ni Sahihi?

Mpenzi wangu ameniambia "Wanawake tunataka pesa"! Je, ni Sahihi?

Katika maongezi na shemeji yenu amefunguka kuniambia

"Yaani wanawake tunataka hela, twende mbele turudi nyuma tunataka hapa huku akipigisha vidole kama anahesabu hela"

Maoni Yangu Naona ni sawa kumuhudumia mwanamke ila si sawa yeye kusema wanawake tunataka hela Naona kama ni makosa makubwa.

Karibuni
Hapendwi mtu, inapendwa pochi tu!!.Ukiona demu mkali kaolewa na Masudi sura mbaya,ujue Masudi sura mbaya ana pochi nene!!
 
Katika maongezi na shemeji yenu amefunguka kuniambia

"Yaani wanawake tunataka hela, twende mbele turudi nyuma tunataka hapa huku akipigisha vidole kama anahesabu hela"

Maoni Yangu Naona ni sawa kumuhudumia mwanamke ila si sawa yeye kusema wanawake tunataka hela Naona kama ni makosa maku
Ukiona hivyo uyo Cha wote na yupo kwako kimaslahifulan tuuu
Upo na fisi mtu mwambie akupe na wewe ili aoneuvhungu wake
 
Halafu wenye pesa nying mwanamke hawawaombi hela maana anajiwekeza ili siku apate kikubwa ila kwasas walala hoi Kila siku wanatuomba hela mshindwe Kwa jina la pesa ngumu
 
Hakuna kitu sipendi kama kulazimishwa au kukumbushwa majukumu

Mwanamke wangu akiniambia Kauli kama
1. Wanawake tunapenda hela
2. Wanawake tunapenda zawadi
3. Wanawake tunapenda kutolewa out
4. Wanawake tunapenda kubembelezwa

Acha nikupe hela, zawadi, nikutoe out, nikubembeleze kwa muda wangu na misingi yangu, kazi yako wewe ni ku enjoy tu na kushukuru inatosha, nitajua unapenda hicho kitu

Ila siyo uniambie unachopenda, mbaya zaidi unajijumlisha na wanawake wengine means unaiga mambo wanayofanyiwa wenzako.

Nikiambiwa hizo kauli zinanikata mood kabisa naacha na kukupa hizo attention zote, ni kama unaniforce niishi kwenye misingi yako.

Hapo sasa ntamtoa kwenye malengo yangu yote ntampa zawadi au hela nikiwa na nyege zangu tu, ntamtoa out nikiwa na upwiru wangu tu, kubembelezwa ndo asahau kabisa
 
Kila mwanamke anajiuza wanachotofautiana ni mbinu tu. Kuna wanaojiuza direct; mitandano, barabarani, club. Kuna wanaojiuza indirect kwa kujificha kwenye kichaka cha kuhudumiwa. Kwaiyo ni maamuzi yako uende na yupi kulingana na bajeti, muda na ratiba zako.

Zingatio; kwa hawa wanaojiuza indirect akikisha gharama ya kuuziwa kumer iwe kiasi ambacho unaweza kumudu maumivu ya kukipoteza. Hatutaki kusikia kesi ya mauaji.
 
Ukiona mwanamke katanguliza Pesa ,kosa sio yeye,.kosa niwewe kushindwa kubadilika namna unavyomchukua.
 
Mimi sio shehe Yahaya Huseni ila nakutabiria huyo mwanamke wako siku sio nyingi atakwambia maneno haya:

"sawa nadanga, niache nidange
inakuuma nn kwenda buza
kushuka kwa mpalange.
sawa malaya, niache nipuyange
style zote naziweza hadi kifo cha mende.
 
Mimi sio shehe Yahaya Huseni ila nakutabiria huyo mwanamke wako siku sio nyingi atakwambia maneno haya:

"sawa nadanga, niache nidange
inakuuma nn kwenda buza
kushuka kwa mpalange.
sawa malaya, niache nipuyange
style zote naaziweza hadi kifo cha mende.
Ahaha ngoja awe na subira atatupa mrejesho tuuuuu
 
Back
Top Bottom