Mpenzi wangu amenizidi miaka mitatu, kuna tatizo lolote?

Mpenzi wangu amenizidi miaka mitatu, kuna tatizo lolote?

Padri Mcharo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2015
Posts
1,899
Reaction score
3,688
Niaje wanaJF

Kawaida yangu ku expose maisha yangu nipate kushauriwa bana. Maana unaweza kujifanya much know (kama asemavyo King Crazy GK kwenye wimbo wa Piga Manati Piga ya kichwa) mambo yakienda kombo unaambiwa "uwe Unauliza, fala wewe"

SASA ISSUE NI HIVI :
I am 26 (bila shaka mnajua jinsia yangu ni ME) na girlfriend wangu (yule niliwaambia hapendi kabisa kunipiga mizinga, kuna cku nilimpiga mashine dakika 47 nonstop na mengine mengi ambayo nilishaweka hapa jukwaani) she is 26.5.

Key problem here ni age difference kati yetu. Amenizidi miez mitatu kuzaliwa. Nahitaji awe mchumba later on mke wa ndoa halali.

Nasomaga na watu pia wanasemaga kuwa mwanaume inatakiwa umzidi mkeo miaka kuanzia miwili upwards.

Swali kwa wanaume waliooa wake almost same age. Je changamoto zipi mmekutana nazo?

Hii imekaaje mazee mchumba wangu kanizidi Miezi mitatu???? Is there any problem?

#Chief Eng
 
Umri sio tatizo labda umbo. Kuna maumbo unakuta mkitembea wote njiani yeye anaamkiwa we we unapewa "mambo" au wanakuuliza huyu shangazi yako? So kama kamwili ni vile Vikavu kama cha yule babu wa Mizengwe endelea tu
 
Wewe tafuta hela acha kutafuta age difference
 
Uzuri wa kuona watu wa age moja, ni kuwa mnaweza kufika mbali sana kimaisha, kwasababu mawazo yenu yanafikiria at the same age wise, especially kama wote mna stable income, (1). mnaweza kuweka mshahara wa mmoja na kutumia mshahara wa mmoja, (2). Mnaweza kusaidiana kulipiana ada kwa elimu ya zaidi.
Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nani.
 
Uzuri wa kuona watu wa age moja, ni kuwa mnaweza kufika mbali sana kimaisha, kwasababu mawazo yenu yanafikiria at the same age wise, especially kama wote mna stable income.
Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata
watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na
wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nani.

Kumbe wanawake wa JF baadhi wana busara.
Ahsante.

#Chief Eng
 
Uzuri wa kuona watu wa age moja, ni kuwa mnaweza kufika mbali sana kimaisha, kwasababu mawazo yenu yanafikiria at the same age wise, especially kama wote mna stable income, (1). mnaweza kuweka mshahara wa mmoja na kutumia mshahara wa mmoja, (2). Mnaweza kusaidiana kulipiana ada kwa elimu ya zaidi.
Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nani.
Ya kweli hayo comred???
 
Hiyo haina tatizo hata kidogo labda mshindwane kwa vingine.!
 
Niaje wazeiyaaah...
Mko Bwaxx...

EBANA SAWA:
Kawaida yangu ku expose maisha yangu nipate kushauriwa bana.. Maana unaweza kujifanya much know (kama asemavyo King Crazy GK kwenye wimbo wa Piga Manati Piga ya kichwa) mambo yakienda kombo unaambiwa "uwe Unauliza, fala wewe"

SASA ISSUE NI HIVI :
I am 26 (bila shaka mnajua jinsia yangu ni ME) na girlfriend wangu (yule niliwaambia hapendi kabisa kunipiga mizinga....kuna cku nilimpiga mashine dakika 47 nonstop na mengine mengi ambayo nilishaweka hapa jukwaani) she is 26.5

Key problem here ni age difference kati yetu. Amenizidi miez mitatu kuzaliwa. Nahitaji awe mchumba later on mke wa ndoa halali....

Nasomaga na watu pia wanasemaga kuwa mwanaume inatakiwa umzidi mkeo miaka kuanzia miwili upwards..

Swali kwa wanaume waliooa wake almost same age JE changamoto zipi mmekutana nazo..

Hii imekaaje mazee mchumba wangu kanizidi Miezi mitatu???? Is there any problem...

#Chief Eng

Heshima Mkuu,Chief Eng!!

Kwanza hongera sana kwa kuwa na Mpenzi mwenye sifa ulizozitaja.Nb;Siyo wote wana wapenzi wenye sifa kama hiyo hapo juu.Msalimu sana.

Niende kwenye Mada moja kwa moja,Suala hapa la kuzingatia,Ni wapi ulipotoka,Ulipo na utakapokwenda.Usifikirie ulipo tu na kusahau ulipotoka na utakapokuwa.

Wengi wameshauri mambo ya msingi hapo juu ila mtizamo wangu ni tofauti kidogo,Kwa asili ya wanawake wengi walivyo inakubidi uwazidi vyote kuanzia Umri,Uwezo wa kufikiri,Elimu,na hata kiuchumi.Ukioa mwanmke mlio sawa kiumri nadhani hujangamua utakapokuwa kwa baadae (Uzeeni) kwakuwa utafika wakati wewe ukionekana kijana wakati yeye akionekana kashezeeka,Waliosema ni vizuri labda niseme tu kuwa hawajafikiri upande wa pili wa picha.

Umri-Katika ukuaji wanawake wanakuwa mapema mno kutuzidi sisi wanaume na kuzeeka mapema,Ni kinyume cha wanaume.Sisi hatukui mapema kama wao na hata kuzeeka hatuzeeki mapema vilevile.
Hoja yangu ni hivi,Ukioa mwanamke mlio sawa kiumri utafika wakati ataonekana ndiye mkubwa kuliko wewe tofauti na kama ungemuoa uliyemzidi umri walau miaka mitano na kuendelea.Hapa ni ku-look beyond the present,Usifike wakati ukamchoka mkeo kisa anaonekana mkubwa zaidi yako.
Nb;Kati ya makosa makubwa utakayoyafanya katika maisha yako ni pamoja na kukosea kuoa.

Uwezo wa kufikiri-Hapa naomba tuelewane kidogo kuwa ninapozungumzia uwezo wa kufikiri nina maana kuwa uwezo wa kungamua mambo mbalimbali,Kutatua matatizo kwa uweledi mkubwa nk.Mara nyingi wanawake wanaokuwa na uwezo huu hawadumu katika ndoa na wenza wao kwakuwa hakuna mwanaume popote anayekuwa na amani pale mkewe anapokuwa na uwanda mpana wa mambo,Die or Live but that is the reality.

Elimu-Ni vigumu sana kwa Mwanamume aliyeishia STD 7 kumuoa mwanamke mwenye Phd ila ni Rahisi zaidi kwa Mwanamume mwenye Phd kumuoa mwanamke wa STD 7.Hii haina tofauti kuubwa sana kimaelezo kama nilivyoelezea hapo mwanzo katika Uwezo wa kufikiri.Ni mara nyingi sana kwa mwanaume mwenye elimu kubwa kuishi na amani pamoja na furaha katika ndoa ambayo mkewe hana Elimu kubwa ila ni kasheshe sana pale Mwanamke anapokuwa na Elimu kubwa kumzidi mumewe,Hili kila mtu ni shuhuda.
Nb;Kadiri mwanamke anavyosoma ndivyo anavyozidi kupunguza idadi ya watu wa kumuoa.Kadiri Mwanaume anavyozidi kusoma ndivyo anavyozidi kuongeza idadi ya watu wa kuwaoa.

Uwezo wa kifedha-Ukioa mwanamke mwenye Kampuni 5 nchi za Nje wakati wewe mwanaume ni Fukara kama mimi basi jiandae kuwa Shamba boi katika nyumba ya mkeo.Mwanamke mwenye uchumi mkubwa kifedha huwa anayasahau majukumu yake kama mwanamke kwa mumewe na hii hupelekea ndoa kunasa katika tundu bovu jambo ambalo siyo zuri.Ni vyema mwanaume uoe mtu ambaye hajakuzidi kifedha,inakaa poa zaidi kuliko uzidiwe.

Yapo mengi unayoyafahamu na ume-experience katika miaka mingi uliyoishi humu Duniani.Kiimani wanawake wamechorwa kama wasaidizi,Sasa kama wewe ni Mtemi wa mtaa mpe Msaidizi wako akae katika nafasi yako na wewe uikaimu nafasi yake halafu matokeo utayaona.
Nb;Ieleweke kuwa zipo Ndoa ambazo zimefaulu kuishi kwa Amani na Furaha,huku zikikinzana na sababu zangu nilizoziorodhesha hapo juu.Fikara zangu hazina maana kuwa Usioe mwanamke ambaye kakuzidi Umri,Elimu,Uwezo wa kufikiri,Uwezo wa kifedha nk kwakuwa SERIKALI YA MTU NI KICHWA CHAKE MWENYEWE.
 
Uzuri wa kuona watu wa age moja, ni kuwa mnaweza kufika mbali sana kimaisha, kwasababu mawazo yenu yanafikiria at the same age wise, especially kama wote mna stable income, (1). mnaweza kuweka mshahara wa mmoja na kutumia mshahara wa mmoja, (2). Mnaweza kusaidiana kulipiana ada kwa elimu ya zaidi.
Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nani.

Habari Mkuu,Sky Eclat.

Umeandika vyema sana katika Maelezo yakao "Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nan"

Nina swali na Naomba ulijibu,

# Kuwa katika umri sawa ndiyo kufika mbali kimaisha??.

# Unadhani uwezo wa mtu kufikiri unatokana na nini,umri wake,Uwezo wa kufikiri,kungamua au vipi??
# Unaposema wanaume wanaanza kuona wasichana,Kwanini umetujumuisha sote?? Je hudhani kuwa ni kwa baadhi pekee??.
 
Age sio tatizo hata kidogo as long as mmna elewana,my bro mkewe amemzidi miaka miwili lakini wanaelewana wanaheshimiana,sasa wa kwako kama ana fit kwenye mahitaji yako wala isikusumbue endelea nae..
 
Habari Mkuu,Sky Eclat.

Umeandika vyema sana katika Maelezo yakao "Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nan"

Nina swali na Naomba ulijibu,

# Kuwa katika umri sawa ndiyo kufika mbali kimaisha??.

# Unadhani uwezo wa mtu kufikiri unatokana na nini,umri wake,Uwezo wa kufikiri,kungamua au vipi??
# Unaposema wanaume wanaanza kuona wasichana,Kwanini umetujumuisha sote?? Je hudhani kuwa ni kwa baadhi pekee??.
1. |Mkiwa umri sawa kuna nafasi kubwa sana kuwa mlisoma na kumaliza pamoja, changamoto za maisha ya shule na kuanza maisha zinakuwa sawa, mnaweza kufikiria jinsi ya kuanza kujenga nyumba au kuanzisha miradi.
2. Umri sawa unasaidia katika kufikiri na kuchallenge hoja ya mwingine kama haina muafaka, leo hii ukioa mwanamke mdogo kwanza wengi wa wanaume, mwanamke akiwa mdogo ki-umri unafikiria huyu ataniambia nini?
3. Nilifanya makosa ku generalize nilitakiwa kusema wengi wao au baadhi yao.
Asante.
 
1. |Mkiwa umri sawa kuna nafasi kubwa sana kuwa mlisoma na kumaliza pamoja, changamoto za maisha ya shule na kuanza maisha zinakuwa sawa, mnaweza kufikiria jinsi ya kuanza kujenga nyumba au kuanzisha miradi.
2. Umri sawa unasaidia katika kufikiri na kuchallenge hoja ya mwingine kama haina muafaka, leo hii ukioa mwanamke mdogo kwanza wengi wa wanaume, mwanamke akiwa mdogo ki-umri unafikiria huyu ataniambia nini?
3. Nilifanya makosa ku generalize nilitakiwa kusema wengi wao au baadhi yao.
Asante.

Nianze kwa kujibu hivi.

1-Mkiwa na umri sawa haiyumkiniki kuwa mlikuwa umri sawa pindi mlipokuwa shule,Changamoto za maisha ya Shule na kuanza maisha hazitegemei umri bali Uwezo wa kufikiri.Kuwaza jinsi ya kujenga Nyumba na kuzalisha mali utegemea kiwango cha maarifa atakachokuwa nacho mmeo pamoja na wewe na siyo umri.

2-Mwanaume anahitaji Mwanamke Mshauri,Mwenye heshima kwa mmewe,Anayejali familia,Mbembelezaji,Mwenye maono,Mcha Mungu nk,Mara nyingi hili hudhihirika pale kila mmoja wapo atakapotambua majukumu yake pasipo kuzoroto kwa chochote.Huku kuoa Mwanamke mliolingana Umri kwa kigezo kuwa mtafikiri sawa nadhani ni NO kwakuwa kufikiri positive hutokana na uwezo wa kufikiri na siyo umri.
Kwa Ushauri,Uliposema "kwanza wengi wa wanaume, mwanamke akiwa mdogo ki-umri unafikiria huyu ataniambia nini"-Kama hujaolewa usiwe tayari kuolewa na mtu ambaye umemzidi umri,Inakubidi yeye (Mwanamume) ndiye akuzidi na siyo wewe.
kama tayari umeolewa,Je mmeo kakuzidi umri?? (Sihitaji majibu humu) ila jichunguze,Nadhani kuna mambo nyakati zingine zinashindikana kwa kigezo cha umri.

3-Hongera kwa kutambua kuwa ulitujumuisha badala kuwalenga baadhi.
 
Nimegundua kwamba wadada wanaomshauri jamaa...kuwa "umri sio tatizo" ma bf wao ni watoto watoto....wanampoteza jamaa hivi hivi
 
Dhu miezi!
Mimi tuko tofauti 10 years she's older
Na uu ni mwaka wa 14 kwenye ndoa
 
Siku hizi vijana wanapenda miteremko ndio maana wanaolewa kama diamonds,I yobs,harmonize nk.
Acha wabemendwe tu luna raha yake kumbemenda kijana mwenye damu changa
 
Uzuri wa kuona watu wa age moja, ni kuwa mnaweza kufika mbali sana kimaisha, kwasababu mawazo yenu yanafikiria at the same age wise, especially kama wote mna stable income, (1). mnaweza kuweka mshahara wa mmoja na kutumia mshahara wa mmoja, (2). Mnaweza kusaidiana kulipiana ada kwa elimu ya zaidi.
Tatizo mara nyingi wanawake baada ya kupata watoto na physiology changes, wanaume wanaanza kuona wasichana wadogo na wanakumbuka kuwa wana uwezo, wanasahau uwezo ule aliyewawezesha ni nani.
Well said, mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom