Mpenzi wangu ana mahusiano na rafiki yangu

Mpenzi wangu ana mahusiano na rafiki yangu

kilamba lamba

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2020
Posts
427
Reaction score
738
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.

Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
 
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Mwanangu kama wewe ni toka kwenye yale makabila fisi ambapo shemeji wanakulaga huna la kufanya bali kuendelea. Ila kama ni kama mie, huyo ushapiga chini muda mrefu. Kila la heri kufanya maamuzi magumu.
 
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Huyo unampenda mwambie unajua kuhusu huyo jamaa na mpe msimamo mzee usije umia baadae
 
Pole sana. Ningekuwa ni mimi ningemuonesha huyo manzi hizo chatting kati yangu na jamaa kisha naachana nae.
Labda angekuwa mke nimemuoa ndo kidogo ningeumiza kichwa.
 
Achana nae kwa style ya Yusuph mgalilaya,kimyakimya bila yeye kustuka.
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
 
Mwanangu kama wewe ni toka kwenye yale makabila fisi ambapo shemeji wanakulaga huna la kufanya bali kuendelea. Ila kama ni kama mie, huyo ushapiga chini muda mrefu. Kila la heri kufanya maamuzi magumu.
Niendelee kumegaa kisela
 
Sikiliza moyo wako,, achana na wakatishaji tamaa kama unampenda peleka posa oa,,
Game over
 
Back
Top Bottom