kilamba lamba
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 427
- 738
- Thread starter
- #21
Nashkuru mkuuSikiliza moyo wako,, achana na wakatishaji tamaa kama unampenda peleka posa oa,,
Game over
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkuru mkuuSikiliza moyo wako,, achana na wakatishaji tamaa kama unampenda peleka posa oa,,
Game over
Endelea kuburudika akidhani anamchepuko na ww labda wa malengo kwake ww.unamfanya mchepuko. Mshushe vyeo.ila mtumie kwa haja zako tu za kimwili kuoa au malengo mtoe na hata akijua iwe usha move on salama abakie na maumivuHabarini wakuu , natumai mu wazima sana.
Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.
Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.
Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.
Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.
Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.
Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Nimekupata vyemah mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bata sana kumjua mchawi wako we piga pumbu muhimu usisahau zana, atajuaga mwenyewe mbele
Nashkur sanah kwa ushaur wako mkuuMuhoji kwanza mpenzi wako, ukute mwana nae anakuchora aone kitachotokea.
Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
Muulize,.Shika mia zako kaka, huyo mwanamke unayesema ni mpenzi wako yeye ndiye anayejua nani ni mpenzi wake.
cha kufanya,wewe sasa ndio uwe mchepukoHabarini wakuu , natumai mu wazima sana.
Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.
Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.
Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.
Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.
Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.
Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.
Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Akijibu hili nitagKuna ulazima wa yote hayo ? .. kwanini usiwapotezee tu kimya kimya ukaendelea na maisha yako kwa amani ?? ..
Kwa vile Jamaa ametangulia kukupa taarifa juu ya Uhusiano wao, sasa hivi wewe ndiye unakula Demu Wa Jamaa yako..Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.
Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.
Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.
Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.
Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.
Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.
Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.
Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.
Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.
Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.
Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.
Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.
Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.
Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.
Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.
Wahenga walisema kizuri kula ndugu yakoHabarini wakuu , natumai mu wazima sana.
Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.
Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.
Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.
Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.
Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.
Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.
Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Kivipi mkuuMkuu usimuache uyo demu utakuja kujuta baadae huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama nakuona unavyohema kwa muhaho na kihoro cha kuchukuliwa demu wako [emoji2] ujana kitu mbaya sana.
Mwambie ukweli ujue mbivu na mbichi kabla hujabamizwa kizembe zembe
Swali zuri sana hili, [emoji23][emoji23][emoji23]Hadi unafanya yote hayo ulikuwa umejiandaaje?