Mpenzi wangu ana mahusiano na rafiki yangu

Mpenzi wangu ana mahusiano na rafiki yangu

Ww kipaumbele chako ni nini?

Ulitaka kumuoa?

Kama jibu ni no basi angalia kipaumbele chako kilichokupeleka kwake.
 
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Endelea kuburudika akidhani anamchepuko na ww labda wa malengo kwake ww.unamfanya mchepuko. Mshushe vyeo.ila mtumie kwa haja zako tu za kimwili kuoa au malengo mtoe na hata akijua iwe usha move on salama abakie na maumivu
 
Shika mia zako kaka, huyo mwanamke unayesema ni mpenzi wako yeye ndiye anayejua nani ni mpenzi wake.
Muulize,.
Ila ningekuwa mm ningefanya wote wajue . Then tuone mdada atachagua nan

Na akikuchagua ww piga tu na usiweke malengo.

Akichagua mshkaj , then utakuwa unajua huyo jamaa kakuzid nn na itakuongezea maarifa
 
Kinachoniuma Tz ya sasa wanaume wa kweli tumebaki wachache. Wavulana wengi sana. unapewa ukweli unakuja omba ushaur
 
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.

Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
cha kufanya,wewe sasa ndio uwe mchepuko
 
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.

Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Kwa vile Jamaa ametangulia kukupa taarifa juu ya Uhusiano wao, sasa hivi wewe ndiye unakula Demu Wa Jamaa yako..
 
Wahenga husema kizur kula na ndugu ako
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.

Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.
Habarini wakuu , natumai mu wazima sana.

Ishu iko hivi , wiki kadhaa nyuma kuna kitu kilitokea. Wakati nimetulia gheto na mchumba ,nilikuwa nimemuazima kidogo simu yake.

Mara kuna text ikaingia ,nikaamua kuisomea tu kwa juu ya screen nikaiyona kwamba imetoka kwa mtu ninaemfaham , tena na rafiki yang kabisa.Nikajiuliza tu kuna ishu gani kati yao.ila nikaamua kutulia nisiulize kwanza.

Baada ya kupita kama wiki moja hivi , akili ikanicheza ,nikasema ngoja nifatilie hawa watu wana ishu gani .nikafikiria nikaamua kwa sababu namba zao zote ninazo ngoja nichukue picha ya manzi niweke status labda nitagundua chochote.

Kweli bhna. Katika kupitia pitia reply za watu, nikakuta na reply ya huyo mshkaji ,ni rafiki lakini siyo kivilee, ikiwa inanichombeza kuhusu huyo manzi ,mfano "aaisee hivi huyu manzi nani anakula" "au ndo shemeji nini " maswali maswali kibao.majibu yangu yalikuwa mafupi tu kwamba anaekula simfahamu.

Kama ngekewa jamaa akaamua kufunguka kama huyo manzi ni mpenzi wake na washaonana ghetto kwake kashaenda zaidi ya mara mbili ,na akafunguka hadi muda wa uhusiano wao kwamba hawana hata miezi mitatu.

Sijajua sasa hapa nifanyaje , je nimwambie ukweli manzi. Nimuulize vizuri anijibu au nimchane jamaa , sijaelewa nifanye nini.

Naombeni ushauri wenu wadau .nifanyaje.?
Wahenga walisema kizuri kula ndugu yako
 
Sasa hapo shida nini? Piga pumbu na jamaa apge pumbu mambo ya kupenda toto l mtu ni ungesee mkuu
 
Mwambie demu ,mfanye ajue kua umejua kuna A B C .


Akikiri nikweli.... Mjulishe jamaa, kua Dem alikua ni demu wako...ila umeamua kumpiga chini.
 
Kama nakuona unavyohema kwa muhaho na kihoro cha kuchukuliwa demu wako [emoji2] ujana kitu mbaya sana.

Mwambie ukweli ujue mbivu na mbichi kabla hujabamizwa kizembe zembe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom