Mpz wangu nimekuwa nae muda mrefu ila anatatizo la kutonionea wivu hata anikute mazingira hatarishi hii hali hainifurahishi kabisa hadi inafikia muda mwingine natunga skendo yoyote nione reaction yake ila mwenzangu haoneshi na kutishwa wala nini.JE NITAFSIRIENI HUYU MTU Atakuwa wa namna gani?
Jaribu na hii; siku moja njoo na kazi home halafu piga show na yeye akiwepo uone atareact vip!
kaka ni mawili either anakupenda sana au anakuchukulia poa.
ss hayo mambo ya kusetiana sijui kutegesheana ya nn lkn.
embu mfocus kwailo mapnzi lenu mengine baadae.
Akuonee wivu wa nini km anakuamini??
Wivu huja pale imani inapopotea kwa mwenzako,so yeye anakuamini sana thats why hana muda na mawivu yako.
Take care.
Mpz wangu nimekuwa nae muda mrefu ila anatatizo la kutonionea wivu hata anikute mazingira hatarishi hii hali hainifurahishi kabisa hadi inafikia muda mwingine natunga skendo yoyote nione reaction yake ila mwenzangu haoneshi na kutishwa wala nini.JE NITAFSIRIENI HUYU MTU Atakuwa wa namna gani?
anaepuka matatizo ndo maana anaamua kuwa hivyo ila si klwamba hakupendi,Mpz wangu nimekuwa nae muda mrefu ila anatatizo la kutonionea wivu hata anikute mazingira hatarishi hii hali hainifurahishi kabisa hadi inafikia muda mwingine natunga skendo yoyote nione reaction yake ila mwenzangu haoneshi na kutishwa wala nini.JE NITAFSIRIENI HUYU MTU Atakuwa wa namna gani?
Akiwa na wivu shida, asipokuwa nao tabu, sa afanyeje jamani!mi nadhani hataki kujichoosha na kujipa stress kwa kuwa na wivu na wewe. Chukulia kawaida tu na ujue kuwa wapo wanawake wa aina hiyo including mimi ambao tunapenda kuishi maisha ya amani!
Be happy!