mpenzi wangu anaficha mshahara wake! ushauri jamanii

🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Mpeleke polisi.
Imabidi nicheke, mtu analilia kipato cha mwenzake kama chake...dah!
 
Aise! Yaani Wewe ni Hawala yake harafu unataka akulishe na mshahara mgawane?
Not longer time to come unakuwa scraped.
 
Umeamua kutuaibisha wanaume. Au unachangamsha genge weekend ikimbie?
 
Hela ya mwanamke ni yake, alikusaidia mwanzo sababu aliamini unauwezo wa kujisaidia na kujiongeza. Sasa wewe umejikalia hujiongezi mwenzako anachoka anakuona mzigo. Sio mkeo, hana wajibu wowote kwako, hamna ile kwa shida na raha akuvumilie. Ana haki kujikata ili ujiongeze, la sivyo atapata wa saizi yake
 
Kwani kilichowaunganisha ni mshahara wake?
 
Hee so unataka doo ya mpenz wako uipigie bajeti?

Mjomba wangu unaniangusha
 
Yawezekana kichwani mwako hakuko salama. watch out
 
Umetisha mkuu...
 
Dah πŸ™…β€β™€οΈmwanaume unalalamikia mshahara wa mwanamke hakika ccm inamaliza fikra za vijana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
One man down,i repeat one man down!!!

ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…