Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

Mpenzi wangu anafika ila hamu haiishi

RAh yake aii kwamba unapelekewa moto tuu na jamaa wadhungu hawatoki mpaka baada ya dakika kama 45, yaani hiyo ndio kwanza first half🤣🤣🤣🤣🤣
Jizazi!!!🙆🙆🙆🙆🙆 Hilo Balaa sasa!
 
Kuna mmoja alikuja mpaka msikitini kutafuta mume. Anasema yeye anashindwa katka ndoa manke anataka shoo ya kibabe, Sasa wanaume hawamuwez... Yeye hatak hela anataka mume WA shoo kweli. Msikitin watu walichoka unaambiw a hat wauza dawa za kisuna hawakutokea
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee uyo inatakiwa ufanye play za kutosha,aisee kuna viumbe hwatosheki kuna siku nilimla mtot wa mtu bao zaid ya sita na bado ananambia tuendelee nikanyoosha mikono mimi,

Ila kesho yake aliumwa mwili wote na mimi niliumwa kidogo maana nilikua napiz had ikafika napiz vitone tu dadeki
Bao nyingi sio tatizo ila zimefungwaje ndiyo hoja, kuna cster flani aliwahi kunipa story kwamba aliwahi kuwa na mwanamme aliyemgonga hadi bao 10 ikila kichapo usiku kucha lakini hakufika mwisho na aliamka inamuuma na kuwasha lakini hamu haikumtoka.
Baadae alipata boyfriend mwingine ambaye hajawahi mgonga zaidi ya bao tatu na si kwa muda mrefu lakini alitosheka vyakutosha hiyo ndiyo tofauti ya Logic na mechanic
 
Back
Top Bottom