Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Uzi mama Uzi unajieleza
Usiniletee mbambamba sijui maswali sijui picha mambo ya kitoto
Hapa FANYA Tu kumsaidia kikojozi afanyaje na anaekojolewa afanyaje?
Kama ni maombi alishaenda kama mafuta ya mwamposa alishapaka, nabii alishamwombea, mfungo alishafunga ila dada etu anajikojolea mnamsaidiaje?
Kaka yetu nae anampenda amekerekwa tu na huo mkojo, anaomba mbinu amsaidiaje?
Jaman mkojo WA MTU mzima unanuka nyie?! Hasa ukichanganyika na pombe🏃🏃🏃🏃
Alafu demu umempenda kinyama, unafanyaje?!
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2.https://www.jamiiforums.com/threads/nimekupa-kila-kitu-na-bado-umeniacha-malalamiko-ya-madada-wengi.2131338/
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!
Usiniletee mbambamba sijui maswali sijui picha mambo ya kitoto
Hapa FANYA Tu kumsaidia kikojozi afanyaje na anaekojolewa afanyaje?
Kama ni maombi alishaenda kama mafuta ya mwamposa alishapaka, nabii alishamwombea, mfungo alishafunga ila dada etu anajikojolea mnamsaidiaje?
Kaka yetu nae anampenda amekerekwa tu na huo mkojo, anaomba mbinu amsaidiaje?
Jaman mkojo WA MTU mzima unanuka nyie?! Hasa ukichanganyika na pombe🏃🏃🏃🏃
Alafu demu umempenda kinyama, unafanyaje?!
NYUZI ZANGU ZINGINE
1. Hii ndiyo sababu ya nguvu za kiume kupungua au kukosekana Kwa wanaume wengi
2.https://www.jamiiforums.com/threads/nimekupa-kila-kitu-na-bado-umeniacha-malalamiko-ya-madada-wengi.2131338/
3. Haijalishi mwanaume mrefu au mfupi, kama ana hela mimi napita nae
4. Je, mapenzi ni mabaya?
5. Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?
6. Alichonifanya mume wangu baada kurudi toka safarini
7. What you see is what you get!
8. Kwa wanaume tu: Fikiria umempenda mrembo, halafu yeye anakuita kaka, unafanyaje?
9. Mpenzi wangu anajikojolea kitandani nifanyaje?
10. Happy Birthday Money Penny ~ March 8th Baby!