Jerry Rebiam
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 402
- 358
Mkuu kwa uwelewa wangu hilo tatizo linatibika na utafurah fanya yafuatayo
Chukua bamia 3 au 4 zikate juu na chini (kichwa na mkia). Ziloweke kwenye maji kwa masaa yasopungua 11
Baada ya hapo mnyweshe kikombe kimoja cha hayo maji
Asa kwa kua ni dose ya asubuh na jion na mchanganyiko unahitaj mda mrefu inabid uchanganye hayo maji na bamia jioni kwa ajili ya kutumia asubuh na uloweke ingine asubuh kwa ajili ya jioni
Na hakika utaleta mrejesho mzuri
Chukua bamia 3 au 4 zikate juu na chini (kichwa na mkia). Ziloweke kwenye maji kwa masaa yasopungua 11
Baada ya hapo mnyweshe kikombe kimoja cha hayo maji
Asa kwa kua ni dose ya asubuh na jion na mchanganyiko unahitaj mda mrefu inabid uchanganye hayo maji na bamia jioni kwa ajili ya kutumia asubuh na uloweke ingine asubuh kwa ajili ya jioni
Na hakika utaleta mrejesho mzuri